• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

HALMASHAURI NYANDA ZA JUU KUSINI ZATAKIWA KUPELEKA HUDUMA ZA UPIMAJI AFYA KATANI

Posted on: August 16th, 2017

Mamlaka za serikali za mitaa mikoa ya nyanda za juu kusini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kupima afya katika Kata ili wananchi wengi wanufaike na huduma za afya na kukabiliana na magonjwa.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipotembelea banda la Halmashauri ya wilaya ya Kilolo katika maonesho ya Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale mjini Mbeya jana.

Masenza alizitaka Halmashauri kuweke utaratibu wa kutembelea Kata na kutoa elimu ya afya na upimaji magonjwa mbalimbali badala ya kusubiri kupima katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika mara moja kila mwaka. “Wekeni utaratibu wa kutembelea Kata na kupima afya wananchi hasa wakina mama wanapohudhuria kliniki na kuwapa elimu ya afya na lishe. Utaratibu huu utasaidia kuokoa maisha ya watu na kuimarisha hali zao za lishe kwa sababu wananchi wengi hawapati huduma hizo kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na umbali” alisema Masenza. 

Masenza alisema kuwa mikoa ya nyanda za juu kusini inakabiliwa na tatizo la lishe pamoja na kuwa ni mikoa yenye kiwango kikubwa cha uzalishaji wa mazao ya chakula. Alizitaka mamlaka za serikali za mitaa na wadau wote kuweka mikakati ya kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi juu ya uchanganyaji wa chakula katika kutengeneza mlo kamili. “Juhudi za pamoja zitasaidia kukusanya rasilimali na kuzitawanya kwa mujibu wa maeneo ya kipaumbele na uhitaji kuliko kila mmoja kufanya peke yake. Ushirikiano huu utarahisisha kuzibaini changamoto zilizopo na kuzipatia ufumbuzi wa pamoja” alisema Masenza.

Maonesho ya shughuli za wakalima Nanenane mwaka 2017 yanaongozwa na kaulimbiu isemayo, “zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi kufikia uchumi wa kati”.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • View All

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.