• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

IRINGA KUTUMIA MAONESHO YA UTALII KUKUZA UTALII

Posted on: February 10th, 2018



Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkoa wa Iringa unatumia mkakati wa maonesho ya utalii karibu kusini kuchochea na kukuza utalii kwa ukanda wa kusini mwa Tanzania.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akisoma taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Iringa kwa Makamu wa Rais katika rest house ya NSSF Iringa mjini jana.

Masenza alisema “maonesho ya utalii kusini yanatumika kama mkakati maalum wa kufungua sekta ya utalii kwa ukanda wa kusini ambao umejaa fursa na vivutio vya kipee katika utalii. Mkoa wa Iringa ukiwa mratibu umeandaa mipango ya kuboresha wa maonesho haya kwa kutenga eneo la Kihesa Kilolo kama eneo maalum kwa ajili ya maonesho ya utalii kusini. Eneo hili litatumiwa na wadau wa utalii na wadau wa maendeleo kujenga miundombinu kwa ajili ya kuonesha huduma na bidhaa za sekta ya utalii”.

Idadi ya watalii waliotembelea vivutio vya utalii kwa mwaka 2015 walikuwa 8,112 kati ya hao watalii wa nje walikuwa 6,875 na watalii wa ndani walikuwa 3,072. Kwa mwaka 2016 jumla ya watalii 36,736 kati ya watalii hao watalii wa ndani walikuwa 22,280 na watalii wa nje walikuwa 14,456 alisema mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mkoa kwa kushirikiana na wadau unaendelea kuvihifadhi na kuvitangaza vivutio hivyo ili kukuza utalii. Alisema kuwa Mkoa wa Iringa ambao ni kitovu cha utalii kwa mikoa ya nyanda za juu kusini umeweza kuratibu kwa kuandaa maonesho ya utalii karibu kusini kwa miaka miwili mfululizo (mwaka 2016 na mwaka 2017).

Maonesho ya utalii karibu kusini hushirikisha mikoa ya nyanda za juu kusini ambayo ni Iringa, Njombe, Mbeya, Ruvuma, Songwe, Rukwa na Katavi.

Makamu wa Rais yupo katika ziara ya siku tano mkoani Iringa pamoja na mambo mengine atazingua mradi wa kuendeleza utalii ukanda wa kusini REGROW.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.