• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • UTALII IRINGA
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MASENZA AIHAKIKISHIA KAMATI YA BUNGE USALAMA IRINGA

Posted on: January 29th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa- Iringa

Kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa imehakikishiwa kufanya kazi kwa amani na usalama mkoani Iringa kutokana na vyombo vya usalama kuwa macho muda wote.

Uhakika huo ulitolewa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiongea na kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa Mkoa, kamati hiyo ilipofanya ziara mkoani hapa.

Masenza ambaye pia ni mkuu wa Mkoa wa Iringa alisema kuwa Mkoa wa Iringa upo shwari. Hali ya usalama ni nzuri kuiwezesha kamati hiyo kufanya ziara ya kikazi katika hali ya usalama na utulivu. Aidha, aliongeza kuwa wananchi mkoani Iringa wanajitambua katika kutekeleza majukumu yao. “Wananchi mkoani Iringa hasa wakulima katika msimu huu wa kilimo wanajitambua na hawashurutishwi kutekeleza majukumu yao ya kilimo” alisema Masenza.

Wakati huohuo, makamu mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa, Mwanne Mchemba alisema kuwa dhumuni la ziara ya kamati yake ni kukagua miradi ya maendeleo wilayani Kilolo kwa fedha zilizotolewa na serikali mwaka 2016/2017. “Tunajua kuwa mkuu wa Mkoa ni jembe katika usimamizi wa uhamasishajai wa maendeleo. Hivyo, kamati inataka kujiridhisha na matumizi ya fedha za serikalai hasa thamani ya fedha kabla ya serikali kuidhinisha fedha nyingine kwa Wilaya ya Kilolo” alisema Mchemba.    

=30=

Matangazo

  • Taarifa ya Uchaguzi wa Serikari za Mitaa Mkoa wa Iringa 2019 November 26, 2019
  • Ratiba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Machi March 08, 2019
  • Ratiba ya Mh. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Aprili April 04, 2019
  • Rc Hapi Aanza Ziara Kukagua Miradi Halmashauri Za Iringa August 27, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenendo wa Hali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2019 Mkoa wa Iringa

    November 26, 2019
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa na Katibu Tawala wa Iringa akipokea Tuzo yakushika nafasi ya tatu kitaifa katika matokeo ya darasa la 7

    October 30, 2019
  • DR.ROBERT SALIM,ATOA SEMINA KWA WANAHABARI KUHUSU KAMPENI SHIRIKISHI DHIDI SURUA,RUBELA NA POLIO

    October 18, 2019
  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akiwa katika Kiwanda cha maji cha Mkwawa

    October 04, 2019
  • Tazama zote

Video

Mh. Ally Hapi akaribisha Wawekezaji Iringa
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2019, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.