• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Video

  • RC SERUKAMBA AMKARIBISHA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. ABDALLAH ULEGA

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amempokea Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, ambaye amewasili Mkoani Iringa Kwaajili ya ziara ya kukagua na kuzindua Miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita, ambapo leo ameanza kuzindua miradi ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

  • RC: SERUKAMBA: MGENI RAMSI WA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA KIKOSI CHA JESHI 841 KJ MAFINGA

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba Septemba 12,2024 amefunga mafunzo ya Muujibu wa sheria katika kikosi cha Jeshi 841 KJ MafingaKabla ya kufunga Mafunzo hayo Mhe. Serukamba alipokelewa na Mwenyeji wake ambaye ndiye Mkuu wa kikosi Kanali Issa Chalamila na badae akagua gwaride

  • MILLIONI 583 KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI KIBENGU-USOKAMI

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba Leo Septemba 09,2024 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi katika Halmashauri ya Wilaya ya MufindiAkiwa katika ukaguzi huo  Mhe. Serukamba  kwanza ameishukuru Serikali ya awamu ya sita  inayoingozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwaajili ya ukarabati na ujenzi wa shule za msingi na sekondari jambo ambalo linaenda kuondoa adha ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kupata elimu.Moja ya mradi aliotembelea ni mradi wa shule Mpya ya Sekondari ya Kibengu ambayo ujenzi wake unagharimu kiasi cha shilingi Millioni 583 ambapo akiwa hapo Mhe. Serukamba ameridhishwa  na mradi huo ulipofikia huku akiagiza kuendelea kuongeza kasi ili majengo ya shule hiyo yaweze kukamilika kwa wakati.Nao baadhi ya Wananchi wametoa shukrani nyingi kwa Serikali kwa kuwajengea shule na kuboresha miundombinu ya shule kwa kusema kuwa miradi hiyo ikamilike kwa wakati ili wanafunzi waondokane na adha ya kutembea umbali mrefu kupata elimuSambamba na hayo Mhe. Serukamba ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuwahi kuanza kutekeleza  ujenzi wa miradi hiyo kwani kwasasa hakutakuwa na changamoto ya kukwama kwa miradi kwa kisingizio cha mvua

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

Tovuti Linganifu

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.