• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

ZIARA YA MHE RC SENDIGA NA BI SENEDA, OFISINI KWA MHE WAZIRI GWAJIMA

Posted on: June 3rd, 2021

ZIARA YA MHE RC SENDIGA NA BI SENEDA, OFISINI KWA MHE WAZIRI GWAJIMA. 3/6/2021


Mhe Queen Sendiga, Mkuu wa Mkoa Iringa akiwa ameambatana na bi, Happynes Seneda Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, leo wamefanya ziara ya kikao kazi katika ofisi ya Mhe waziri wa Afya ambapo wamefanya mazungumzo ya sekta ya afya kwa lengo la kuboresha huduma kwenye hospitali zilizopo ndani ya Mkoa wa Iringa.


Mhe Gwajima Waziri wa afya kumekuwa na changamoto kubwa sana katika uendeshaji wa hospitali zetu kwa sababu kuna udanganyifu mkubwa sana hasa katika kununua dawa, bima ya afya pamoja na watumishi wa afya kufanya kazi sehemu mbili kwa maana ya serikali na hospitali binafsi hii inaondoa umakini kiutendaji na kupelekea baadhi ya watumishi hao kuwa na maduka yao na hospitali binafsi.


Mhe Gwajima, amesema kuwa hii vita siyo ndogo maana unapofatilia ubadhilifu huu kumbuka unagusa maslahi ya watu hivyo wako tayari hata kukuuwa.


Hata hivyo Mhe Gwajima Waziri wa afya, amesema kuwa amezipokea changamoto za Mkoa wa Iringa hivyo atahakikisha anapatikana daktari bingwa wa mifupa, magonjwa ya ndani na pua na koo, pia amewataka MSD wafike mara moja waende wakafunge vifaa vyote vya mashine za usingizi.


Mhe Sendiga, amemwambia Mhe waziri Gwajima kuwa kumekuwa na tatizo kubwa sana la ubakaji na ulawiti ndani ya Mkoa Iringa na ili linatoka na waganga wa jadi ambao siyo wahaminifu ( matapeli) wanawadanganya wateja wao kuwa ili wafanikiwe lazima wabake watoto ndio wafanikiwe, akitoa ufafanuzi bi, Seneda (RAS) amesema pindi jeshi la polisi linapowakamata waganga hao Mwenyekiti wa chama cha waganga wa jadi Taifa anapiga simu polisi na kuwataka wamuachie haraka sana mganga mwenzao kwani yupo kisheria.


Mhe Gwajima, amesema kuwa Kuna shida kubwa sana hapa ya kushughulikia ili tatizo maana awa waganga wa jadi wanekuwa wakiingilia mifumo ya serikali na kusababisha migogoro kwa jamii na serikali, hata hivyo amesema atakuja Iringa na kufanya kikao na KUU Iringa, viongozi wa jadi, amsema yeye amjitoa muhanga kwa lengo la kusaidia Taifa kwa ujumla. Nachukizwa sana na mabango ya waganga mitaani, pia Leo atakutana na Mhe Simbachawene kujadili juu ya hili tatizo la waganga wa jadi, mpaka Sasa Kuna vyama 14 wa waganga wa jadi hapa Nchini.


Mhe Sendiga, alimshukuru sana Mhe Gwajima kwa kikao kazi hicho ambacho kitaleta matokeo chanya kwenye Mkoa wa Iringa.


Imetolewa na Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa, humphrey Kisika.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.