Friday 29th, March 2024
@Iringa
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Queen Cuthbert Sendiga amezindua kampeni ndogo ya chanjo ya UVIKO - 19 yenye dhumuni la kuongeza idadi ya uchanjaji katikaMkoa wa Iringa.Kampeni hiyo inafanyika kuanzia tarehe 20 Julai 2022mpaka tarehe 24 Julai 2022.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga
Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania
Simu: +255 262 702 715
Mobile:
Barua pepe: ras@iringa.go.tz
Hakimiliki ©2024, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.