• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

CCM MKOA WA IRINGA WANAFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO MKUBWA NA SERIKALI YA MKOA NDIO MAANA KUNAUTULIVU MKUBWA NA KASI KUBWA YA MAENDELEO.

Posted on: June 17th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe, Queen Sendinga amesema kuwa serikali ya Mkoa wa Iringa imetoa zaidi ya bilioni kwenye mfuko wa akina mama wa asilimia 4 na wamejipanga kuhakikisha mwaka ujao wa fedha wataongeza zaidi ya hapo.

Mhe, Sendiga amesema kuwa serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kuwatua ndoo wanawake wa Mkoa wa Iringa kwa kuleta miradi mingi ya maji kwenye kila wilaya na halmashauri zake.

Amesema kuwa Iringa bado kuna changamoto ya ukatili wa kijinsia hivyo serikali ya Mkoa wa Iringa kupitia Polisi na Mahakama imeanza kushughulikia kesi za ubakaji na ulawiti na kisha  kuwafunga watuhumiwa  wote ambao wamekuwa wanafanya vitendo vya kikatilii.

Mhe, Sendiga amesema kuwa wananchi wa Mkoa wa Iringa waache mara moja tabia ya kuwaficha wananchi ambao wamekuwa wakifanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa sababu nao watashughulikiwa na serikali kama watuhumiwa wengine.

Mhe, Queen Sendiga, amezungumza hayo akiwa kwenye baraza la Wanawake la Mkoa wa Iringa ambapo pia limehudhuriwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania bi, Gaudentia Kabaka. Ambaye yupo Mkoani Iringa kwa ajili ya ziara ya siku mbili kuanzia tarehe 16-17/6/2022.

Bi, kabaka, nitumie fursa hii kuwapongeza sana Mhe Rc Sendiga na ndugu, Happynes Seneda (RAS) kwa ushirikiano wenu mkubwa wa kazi ambao unadhibitisha manafanya kazi  nzuri na yenye tija kubwa ndani ya Mkoa wa Iringa, hivyo endeleni kushirikiana nasi Kama UWT Taifa tunaziona na tutawasemea vizuri kubwa endeleeni kuchapa kazi uku mkishirikiana na CCM Mkoa.

Imetolewa na Afisa habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.