• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

DC ASIA AALIKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KUTEMBELEA VIVUTIO KILOLO.

Posted on: January 18th, 2018

Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Wilaya ya Kilolo imetoa wito kwa wanafunzi wanaosoma chuo cha Taifa cha ulinzi kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo wilayani Kilolo kwa lengo la kujifunza na kuburudika.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah alipokuwa kiongea na ujumbe wa wanafunzi kutoka chuo cha Taifa cha ulinzi waliotembelea kiwanda cha Dabaga kwa lengo la kujifunza sekta ya viwanda inavyofanya kazi wilayani Kilolo.

Abdalla alisema kuwa timu ya wanafunzi kutoka chuo cha Taifa cha ulinzi wapange kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo wilayani Kilolo. Alisema kuwa wilaya hiyo inavyo vivutio vya aina tofauti ikilinganishwa na maeneo mengine. Alisema kuwa Wilaya ya Kilolo wanapatikana Mbega wekundu ambao hawapatikani sehemu nyingine.

Alisema kuwa pamoja na mambo mengine Wilaya yake inajivunia historia ya kale kutoka utawala wa kijerumani ambapo kumbukumbu nyingi zipo wilayani hapo. “Ni matumaini yangu kuwa mtakapokuja Kilolo mtafurahia utalii wa ndani na mandari nzuri zakuvutia” alisema Abdallah.

Nae kiongozi wa wajumbe wa wanafunzi kutoka chuo cha Taifa cha ulinzi, Capt. Msafiri Hamisi alipongeza kwa mapokezi mazuri timu yake waliyoyapata wilayani Kilolo. Aidha, aliahidi kufikisha mwaliko kutoka kwa mkuu wa Wilaya ya Kilolo wa kutembelea vivutio vya utalii wilayani Kilolo kwa washiriki wajao wa mafunzo kutoka chuo cha Taifa cha ulinzi kupanga kutembelea wilaya ya Kilolo. Alipongeza juhudi zinazofanywa na serikali wilayani Kilolo za kuwaletea maendeleo wananchi wake. “Tunaiona fursa na maendeleo iliyopo mbele kwa wilaya ya Kilolo” alisema Capt. Hamisi.

Timu ya wanafunzi kutoka chuo cha taifa cha ulinzi ipo mkoani Iringa kwa ziara ya siku tano ikishirikisha raia kutoka Tanzania, Kenya, Burundi na Nigeria.

=30=



Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.