• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MAKAMU WA RAIS AWATAKA WANANCHI KUACHANA NA MAFUNDISHO POTOFU

Posted on: September 10th, 2023

Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Isdory Mpango amewataka Watanzania kuachana na Mafundisho Potofu yakimiujiza Yanaoyotolewa na Baadhi ya Watumishi Nchini na Badala yake kuhakikisha wanafanya kazi kwa Bidii.Ameyasema hayo wakati wa Ibada Yubilei ya Miaka 125 ya Uinjilisti Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Ukuhani ya Mhashamu Ask. Tarcius Ngalekumtwa iliyofanyika kwenye viwanja vya kichangani katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa. Mhe. Mpango Amesema Kuwa Katika Zama Hizi za Uinjiilishaji Kumekuwa na Changamoto Kubwa ya Kuenea kwa Mafundisho Potofu na Imani Kali za Kidini jambo ambalo limepekea watu wengi kutokufanya kazi na kukimbila kwenye miujiza ambayo miujiza hiyi imekuwa ikiwanufaisha na kuwatajirisha watu.Aidha Mhe. Dkt Mpango ameendea kwa kusema kuwa mbali na hayo kuendelea kutokea katika jamii hii lakini bado wapo baadhi ya Wahubiri wamekuwa Wakishabikia Baadhi ya Matendo maovu ikiwemo masuala ya ushoga jambo ambalo linaleta mmong’onyoko wa Maadili.Akitoa Taarifa ya Mkoa Mhe. Halima O. Dendego (Mkuu wa Mkoa wa Iringa) amesema kuwa katika Mkoa wa Iringa kumeendelea kuwa na Amani na Usalama kwani Dini na Serikali vimekuwa vikishirikiana vizuri katika kuhakikisha wanalinda Amani na kukuza maendeleo katika Mkoa .Pia Mhe. Dendego Ameendelea kutoa shukrani kwa taasisi za kidini kwani zimeleta Maendeleo makubwa katika Jamii kwa kufungua shule , hospitali na vitu vingi vinavyomuwezesha mtu kuweza kujikwamua kiuchumi.


                     Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.





Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.