• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MAKAMU WA RAIS MHE. PHILIP MPANGO ATOA ONYO KALI KWA WANAOHARIBU MAZINGIRA.

Posted on: December 19th, 2022


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, leo amefungua Kongamano la Wahariri wa habari na Wadau wa Uhifadhi wa Mazingira na Utunzaji wa Vyanzo vya Maji lililofanyika katika Ukumbi wa Masiti uliopo Mkoani Iringa.


Akifungua Kongamano hilo Mhe. Mpango amesema kuwa kwa sasa kiwango cha Uharibifu wa Mazingira kimeongezeka kwa kiasi kikubwa hivyo kwa wale wote ambao wamezuia Maji yasiende kwenye mto mkuu wa Ruaha na badala yake wamechepusha maji hayo kwenda kwenye mashamba yao wachukuliwe hatua kali ikiwa kubomoa vizuizi ( kuta) hizo tena kwa ghalama zao kwa wote waliohusika na uharibifu huo na bila kujali vyeo vyao. Hivyo nawaagiza Mamlaka bonde kusimamia agizi hilo kuanzia leo, Pia naiagiza wizara husika kukagua vibali vyote vilivyotolewa na baada ya ukaguzi huo nataka vibali vyote viletwe ofisini kwangu.


" Ndugu zangu najua hii vita siyo ndogo ila nitambana nayo maana awezekani hizo Familia 12 ndio zilete janga hili kubwa kwa Taifa wakati wao wakiishi maisha ya starehe.


" Inashangaza sana kuona makundi makubwa ya mifugo yanaingizwa kwenye hifadhi zetu kwa makusudi kabisa na wapo viongozi au askari wanachukua rushwa na mamlaka zipo, naagiza vyombo vichukue hatua ili tujue hii mifugo ya nani"


Akitoa taarifa ya Mkoa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego amesema  kuwa katika suala la kutunza mazingira Mkoa wa Iringa ni wa pili kitaifa, na sisi kama Mkoa tumejiweke malengo ya kupanda miti kwa mwaka wastani wanapanda miti takribani Millioni Thelathini.


Imetolewa na Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.