• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MANISPAA IRINGA KUVIIMARISHA VIKUNDI VYA HIARI VYA TASAF KUKOPESHEKA

Posted on: August 30th, 2017

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imetakiwa kuviimarisha vikundi vya hiari vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia TASAF ili viwe imara na kufikia sifa za kukopesheka hatimae kuondokana na umasikini.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipofanya ziara maalum ya kuwatembelea wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika mtaa wa Ngelewala uliopo Kata ya Mwangata Manispaa ya Iringa leo.

Masenza alisema “Manispaa kiingizeni kukundi cha Amani TASAF Mawelewele kwenye vikundi vinavyokopesheka ili wanufaike na asilimia 5 ya vikundi vya kina mama. Ni vizuri na mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotoa misaada kwa vikundi yakaanza na vikundi hivi vya hiari ili viondokane na umasikini”. Aliwakumbusha kuwa wanapokopeshwa fedha lazima kulipa ili nawengine waweze kunufaika na fedha hizo. Aliongeza kuwa umoja ni nguvu siku zote kwa watu wanyonge.

Akiongelea mafanikio ya vikundi kwa wanufaika wa TASAF awamu ya tatu, mratibu wa TASAF Manispaa ya Iringa, Lucy Mtafi alisema kuwa wanufaika wamefanikiwa kuanzisha vikundi. “Uanzishaji wa vikundi vya kuweka na kukopa vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya tatu umeanza, na wameanza kukopeshana ili kukuza mitaji yao” alisema Mtafi.

Akiongelea changamoto zinazoukabili mpango huo, alizitaja kuwa ni baadhi ya wanufaika kutofuatilia mahudhurio ya maendeleo ya wanafunzi shuleni. Nyingine ni baadhi ya wanufaika kuhama makazi bila kutoa taarifa na akusababisha fedha zao za ruzuku kurudishwa makao makuu ya TASAF.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.