• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MHE. DKT SALEKWA APISHWA LEO IRINGA

Posted on: February 3rd, 2023


Leo tarehe 3/2/2023 Mhe. Halima Omary Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt.  Linda Salekwa, katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Masiti uliopo kata ya gangilonga.

Na baadae Mhe. Dendego alipata wasaa wa kutangaza mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita yanayotekelezwa Mkoani Iringa.

Mhe. Dendego ametumia fursa hii kuelezea watanzania na wana iringa ili wajue tunaposema Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa anaupiga mwingi ndio wajue maana ametuletea fedha nyingi sana Mkoa wa Iringa ambazo tumetekeleza miradi mingi kupitia sekta zilizopo ndani ya Mkoa.

" Wastani wa pato la Mkoa limefikia shilingi trilioni 4.630 kutoka shilingi trilioni 3.584 mwaka 2015".

Akitoa salamu za chama cha mapinduzi Comred Daud Yassin Mwenyekiti wa CCM Mkoa na Iringa amepongeza sana Mhe. Dendego Mkuu wa Mkoa Iringa kwa kuandaa kongomano hili zuri na kutangaza mafanikio ya serikali ya awamu ya sita kwani amewasaidia kwa CCM kuelezea mafanikio yalipo katika Ilani ya CCM nao watatumia nakala ya hiyo kuisambaza kweye ofisi zote za chama ili iwe dira nzuri ya kuwaeleza wananchi wajue mambo mazuri na makubwa yanayofanywa na serikali ya Mkoa Iringa.

Mhe. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa Iringa aliwashukuru wajumbe wote walioshiriki kongamano hilo na kuwatakia safari njema na majukumu mema ya ujenzi wa Taifa.

Imetolewa na Afisa habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.