• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKOA WA IRINGA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG

Posted on: December 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego akiwa ameambatana na viongozi wa Mbalimbali wa Mkoa wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Iringa wametoa Mkono wa pole kwa Waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara

Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Iringa Mhe. Dendego ametoa salamu za pole kwa waathirika wote na kwa wale wote walioondokewa na ndugu, jamaa na marafiki na kuwataka Watanzania kuendelea kujitokeza kuendelea kutoa misaada katika eneo hilo

Nae mkuu wa Wilaya ya Hanang Mhe. Janeth Mayanja ametoa shukrani nyingi sana kwa Serikali kwa kuwa karibu nao katika nyakati zote pia kwa Wananchi wa Mkoa wa Iringa na Watanzania kwa ujumla kwa Moyo wao wa upendo kwani toka tukio hilo lilipotokea ni watu wengi wamejitokeza kwa kutoa pole na kutoa misaada

Wakiwa katika wilaya hiyo wametembelea katika maeneo yaliyoathiriwa na kujionea hali ilivyo kwa sasa huku wakipongeza kazi kubwa inayoendelea kufanywa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi katika kuhakikisha hali inakuwa shwari kama hapo awali

Msaada uliotolewa na Mkoa wa Iringa ni chumvi, mahindi,ndoo za maji,mchele,mashuka, unga, magodoro, mkaa mweupe na milunda ya miti ambapo msaada huu una thamani ya jumla Shillingi . 42,944,000.00

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.