• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKUU WA MKOA IRINGA AHIMIZA WANANCHI KULINDA MIRADI

Posted on: May 19th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Queen Sendiga amewaasa wananchi wa Mkoa wa IRinga kujijengea tabia ya kulinda miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali katika maeneo yao.

Ameyasema hayo wakati akifanya ziara ya kukagua ujenzi wa bwawa(Rambo) la kunyweshea mifugo katika kijiji cha Kitelewasi, kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi, ambalo limejengwa kwa na mfuko wa kunusuru kaya maskini )TASAF).

“kwasababu tumefanya kazi kubwa sana kwenye kuchimba hili bwawa jamani na limekaa vizuri baasi tulilinde, tuweke ulinzi miongoni mwetu, ikibidi hata kwenye bwawa hili tutengeneze kamati yetu ya ulinzi” Mhe.Queen Sendiga.

AidhaMkuu wa Mkoa amewaasa wananchi kuendelea kulinda vyanzo vya maji kwa dhumuni la kujihakikishia upatikanaji wa maji hayo ya kunywesha mifugo kwa muda wote.

Nae mkuu wa wilaya ya Mufindi Mhe.Saad Mtambule amepongeza juhudi ambazo zinafanywa na serikali kwa wananchi wake kwani uwepo wa bwawa hilo utasaidia wananchi kunywesha mifugo yao vizuri na kuondoa kabisa kero ambayo wananchi walikua wanakutana nayo hapo awali.

Matangazo

  • BURIANI HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI March 19, 2021
  • Ratiba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Machi March 08, 2019
  • Ratiba ya Mh. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Aprili April 04, 2019
  • Rc Hapi Aanza Ziara Kukagua Miradi Halmashauri Za Iringa August 27, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA QUEEN SENDIGA AWATAKA WAKUFUNZI WA MRADI WA SEQUIP KUFWATA KILICHO WALETA .

    June 22, 2022
  • RC SENDIGA AONGOZA KIKAO KAZI CHA KUFANYA TATHIMINI UTENDAJI WA TASAF.

    June 21, 2022
  • CCM MKOA WA IRINGA WANAFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO MKUBWA NA SERIKALI YA MKOA NDIO MAANA KUNAUTULIVU MKUBWA NA KASI KUBWA YA MAENDELEO.

    June 17, 2022
  • SENEDA AWAPONGEZA MAAFISA ELIMU WOTE NDANI YA MKOA WA IRINGA KWA ONGEZEKO LA UFAULU MZURI KITAIFA.

    June 14, 2022
  • Tazama zote

Video

MAFANIKIO YA TARURA NA TANROADS MKOA WA IRINGA YAPAMBA MBOTO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.