• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA IRINGA AWAPONGEZA WAKUFUNZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI

Posted on: July 26th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe.Queen Cuthbert Sendiga ametoa pongezi hizo wakati akifunga mafunzo ya wakufunzi wa sensa ya watu na makazi ya waka 2022 katika ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika ukumbi wa chuo kikuu Mkwawa.

Licha ya kuwapongeza Mhe. Queen Sendiga amewataka wakufunzi kila wakati kukumbuka kuwa wana dhima kubwa kwa wananchi na maendeleo ya mkoa wa Iringa halikadhalika maendeleo ya nchi kwa ujumla kwa kuwa Sensa ndiyo msingi wa maendeleo.

“Sina shaka yoyote kuhusu uwezo wenu kwani mmeudhihirisha katika mafunzo haya na ndio maana nimetaarifiwa kuwa hakuna mshiriki aliyeshindwa kuhitimu kwa sababu za kushindwa mitihani.” Mhe. Sendiga

Aidha Mhe. Sendiga ametoa wito kwa viongozi wote pamoja na watendaji wa serikali mkoani Iringa kuhakikisha tunaendelea kutoa elimu kila fursa inapotokea, iwe katika mikutano maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya sensa au mikutano yoyote inayotukutanisha na wananchi na wadau wengine.

“Kila mmoja wetu ana jukumu la kutekeleza ili kufanikisha Sensa. Viongozi wa Serikali, Waheshimiwa Wabunge, Waheshimiwa Madiwani, viongozi wa Serikali za Mitaa, viongozi wa dini, viongozi wa Kisiasa, viongozi wa kijamii na wengine sote tushirikiane kutoa elimu ili kulifanikisha jambo letu hili.”  Mhe. Sendiga

Mkuu wa Mkoa wa Iringa pia amesema kuwa Sensa lazima ifanyike na ifanyike kama ilivyopangwa kwa kufuata taratibu na miongozo yote inayopaswa kufuatwa ili kuhakikisha ubora wa taarifa zitakazokusanywa katika mkoa wa Iringa.

“Katika vitu ambavyo wananchi wa mkoa wa Iringa tunapaswa kuvifanya kwa weledi, umakini mkubwa na kwa ubora wa hali ya juu ni pamoja na kufanikisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi.” Mhe. Sendiga

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.