• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi

Posted on: January 14th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi tareh 14-15 Januari 2022 kwa ajili ya kutembelea miradi iliyotekelezwa katika wilaya ya mufindi ambayo ni miradi ya elimu, maji na barabara miradi hii imetekelezwa kwa pesa za UVIKO-19, Tozo na fedha za ndani kutoka kwa wanachi kwa lengo la kuleta maendeleo katika wilaya hiyo.

Miradi ilikabidhiwa kwa mkuu wa mkoa tarehe 11-01-2022 ikiwa imekamilika kwa asilimia mia na ye mkuu wa mkoa amekabidhi miradi hiyo kwa kamati ya siasa mkoa wa Iringa ikiwa ni madarasa miradi ya maji katika vijiji tofauti pamoja na barabara.

Mwenyekiti wa kamati ya siasa mkoa wa Iringa Dr. Abel Nyamahanga amepokea miradi hiyo na kuridhishswa na utendaji kazi wa serikali mkoa wa Iringa.Amepongeza mkuu wa mkoa na team yake yote kwa utendaji na kazi nzuri iliyofanyika katika wilaya ya mufindi

“kwa kipeke tuseme tu kwamba tumeridhika sana na miradi yote ni jambo la kupongeza sana kama chama hatuna malalamiko mkuu wa mkoa nakushukuru sana “ amesema Dr. Nyamahanga

Pia Dr. Nyamahanga amewataka viongozi wa wilaya kuweka utaratibu mzuri wa kuonesha fedha zilizotekeleza miradi zimetoka wapi kama ni UVIKO 19,tozo au fedha za ndani hii itasaidia wananchi kuelewa matumizi ya mapato katika wilaya yao.

“tuwatie moyo katika shughuli wanazofanya lakini pili tuwe na report kamili kubadika hapo taarifa watahamisika kuelewa matumizi ndio uwazi na ukweli” ameongeza Dr Nyamahanga

Mkuu wa mkoa Mh.Queen Sendiga amemuondoa shaka mwenyekiti wa kamati ya siasa juu ya utekelezaji wa ilani ya chama katika mkoa na miradi yote imetekelezwa kulingana na maelekezo ya chama kwa serikali.

Mh.queen Sendiga ametumia wakati huu wa kukabidhi miradi kushukuru viongozi wote na mashirika yote ambayo ameshirikiana nao katika kutekeleza miradi hiyo kwa muda mfupi na kukamilika katika ubora na kiwango kizuri.

“naomba niwashukuru wajumbe wenzangu wa kamati ya siasa na kipekee niishukuru timu yangu ya mkoa wakuu wa vitengo, viongozi wa taasisi TARURA, TANESCO na IRUWASA hakika ushirikiano wenu ndio umefanikisha haya yote “ amesema Mh Queen Sendiga


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.