• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mwanasheria wa NEMC Benard Kongola (kulia) akikagua migomba iliyokatwa katika shamba la Tommy Diaries Farm

Posted on: May 3rd, 2017

KIKOSI KAZI KUNUSURU MTO RUAHA CHARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI AGIZO TOMMY DIARIES FARM


Na Dennis Gondwe, IRINGA


Kikosi kazi namba tatu cha kunusuru ikolojia ya mto Ruaha mkuu kimeridhishwa na utekelezaji wa agizo la kuondoa migomba isiyo rafiki kwa vyanzo vya maji katika shamba la mifugo la Tommy diaries lililopo wilayani Kilolo.

Kauli hiyo ilitolewa jana na wakili wa serikali mkuu kutoka baraza la Taifa la la hifadhi ya mazingira (NEMC), Benard Kongola baada ya kikosi kazi hicho kwenda kufuatilia utekelezaji wa agizo la tarehe 24/4/2017 lililomtaka muwekezaji huyo kuondoa migomba hiyo shambani kwake wilayani kilolo.

Migomba iliyokatwa.

Kongola alisema “migomba ambayo si rafiki kwa vyanzo vya maji ilikuwa imepandwa ndani ya mita 60 kutoka kingo za mto Ruaha mdogo jambo ambalo ni ukiukwaji wa sheria ya Mazingira ya mwaka 2004, sehemu ya 57 ibara ndogo ya 1 inayozuia kulima au kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60”. Alisema kuwa walipotembelea shamba hilo kukagua hali ya uhifadhi wa mazingira na ikolojia ya bonde la mto Ruaha mkuu waligundua uharibifu huo wa kimazingira na pamoja na kuwapiga faini ya shilingi milioni 10 kutokana na kulima mahindi na migomba ndani ya hifadhi ya mto na waliwataka kuondoa mazao hayo yaliyolimwa ndani ya mita 60.

Migomba iliyokatwa

Migomba iliyokatwa

Wakili Kongola alizitaka mamlaka za serikali za mitaa kusimamia sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 kwa sababu ipo wazi. Alisema kuwa usimamiaji makini wa sheria hiyo utasaidia kudhibiti shughuli za kibinadamu zinazofanyika ndani ya mita 60 katika nyanzo vya maji jambo linalohatarisha uendelevu wa vyanzo hivyo wilayani Kilolo.

Ikumbukwe kuwa shamba la mifugo la Tommy diaries lilipigwa faini ya shilingi milioni 10 kutokana na kulima mahindi na migomba ndani mita 60 kutoka ukingo wa mto Ruaha. Vilevile, shamba la mifugo la Ndoto pia lilipigwa faini ya shilingi milioni 10 kutokana na kufanya biashara bila kuwa na cheti cha tathmini ya Mazingira (EIA).

=30=



Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.