• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI APONGEZA WAANDISHI IRINGA MPYA

Posted on: September 15th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Waandishi wa habari wapongezwa kufikisha ujumbe wa matumaini kwa watanzania juu ya mtazamo wa Iringa mpya katika maendeleo.

Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake siku tano ya kutembelea Tarafa tano za Wilaya ya Mufindi katika ukumbi wa mikitano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi jana.

Mhe Hapi alisema “nawashukuru sana waandishi wa habari. Timu yangu ya waandishi wa habari imefanya kazi kubwa sana. Kupitia vyombo vya habari tumetuma ujumbe wa matumaini kuwa Iringa inakwenda kubadilika na mambo yanakwenda kuwa mazuri”. Kupitia kampeni hii watu wengi watakuja kuwekeza Iringa, aliongeza. Uwekezaji utakapo ongezeka maana yake utatengeneza ajira nyingi kwa vijana na kukuza uchumi wa mkoa na pato la Taifa kuongezeka, alisisitiza. Kupitia vyombo vya habari mkoa utapata watalii wengi sana ambao wataendelea kukuza uchumi wa Mkoa wa Iringa.

Akiwa wilayani Mufindi, Mkuu wa Mkoa alitembelea Tarafa za Kibengu, Kasanga, Sadani, Malangali na Ifwagi. Pamoja na mambo mengine, alifanya mikutano mikubwa mitano ukiwemo mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya Iringa mpya na mikutano midogo midogo 12 na wananchi kupewa fursa ya kuhoji na wataalam kujibu kero za wananchi.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.