• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC IRINGA ACHUKIZWA NA VIKUNDI AMBAVYO AVIJAREJESHA MIKOPO YA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Posted on: June 19th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego  ameipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa kupata Hati Safi kwa Hesabu zinazoishia tarehe 30 Juni, 2022.

Akiwa kwenye kikao Cha Baraza maalumu la madiwa la kujibu hoja za CAG mhe, Dendego amewataka waheshimiwa maadiwani Halmashauri ya Mji Mafinga kuifahamu vizuri  miradi inayotekelezwa kwenye Kata zao Kwa sababu wao ndio jicho la karibu la Mkuu wa mkoa, pia inatakiwa kujua miradi na muda wa

 Utekelezaji wa mradi Ili kujua thamani ya fedha iliyotumika kama inaendana na mradi unaotekelezwa kwenye kata yake

Mheshimiwa Dendego ameitaka Halmashauri ya Mji Mafinga kuhakikisha wanatumia mafundi wenye sifa katika kutekeleza miradi inayotekelezwa kwa kutumia force account Ili kuondoa hoja zisizo na tija.


Ndugu Eng, Leornad Massanja Katibu Tawala Mkoa wa iringa amesema kuwa Kuna hoja zingine ni nyepesi zinaweza kufungwa mapema kama menejimenti ya halmashauri itazijibu vizuri pasipo kuleta hadithi.


Eng, Massanja amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa mafinga kumletea orodha ya watumishi wote wanaotuhimiwa kuanziaha vikundi hewa na kuchukua mkopo wa halmashauri hiyo na kusababisha hoja Kwa mkaguzi wa nje (CAG) kupitia kikundi kinachoitwa mnyigumba " naagiza  ndani ya siku 3 nipate orodha hiyo Ili hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kuanzia mwenyekiti, katibu na mwekahazina wa kikundi hicho".

Baadae Mhe. Halima Dendego aliagiza waitwe maafisa watendaji wa kata na Maendeleo ya jamii wote, akiwa kwenye kikao hicho  cha pili na maafisa hao ametoa wiki 2 kuanzia Leo hii Kila afisa ahakikishe anaenda kukusanya fedha hizo za mkopo wa halmashauri Kwa sababu wanavijua vikundi vizuri na wala ataki kusikia habari kwamba vilivunjika hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.

Amefikia hatua hiyo Mhe Dendego baada ya kuona Kwa asilimia kubwa za hoja zinausisha vikundi vilivyochukua mikopo kwenye halmashauri hiyo na hakuna urejeshwaji Kwa kisingizio baadhi ya vikundi vimesambalatika.

Imetolewa na Afisa habari ofisi ya Mkuu wa mkoa Iringa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.