• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC: SERUKAMBA ASHAURI MRADI WA UMWAGILIAJI MTULA KULIMA ZAO LA VITUNGUU

Posted on: May 14th, 2024

Katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba ameishauri Halmashauri ya Mji Mafinga katika moja ya miradi yake ya umwagiliaji, kuwekeza katika kilimo cha vitunguu.

Ameyasema hayo wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua Miradi iliyopo katika Halmashauri hiyo

Akiwa katika Mradi huo wa Umwagiliaji wa Mtula unaosimamiwa na Tume ya Umwagiliaji, uliopo katika kata ya Sao Hill Mhe. Serukamba amesema kuwa ni lazima thamani ya Mradi iendane na thamani ya mazao ambapo amewashauri wananchi na Halmashauri hiyo katika kipindi hiki kulima zao la kitunguu ambalo kwa sasa lina soko kubwa

Pia Mhe. Serukamba ameongeza kwa kusema kuwa kupitia zao hilo la vitunguu Pato la wananchi wa eneo hilo litaongezeka na uchumi wa eneo hilo utakuwa kwa kasi kwani watu hawatataja eneo lingine zaidi ya Mtula

Nae Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe.Dkt. Linda Salekwa ametoa shukrani kwa Mkuu wa Mkoa kwa kuja na wazo zuri na wao wamelichukua na kama Mkuu kiongozi amesema ataanza kulifanyia kazi kwa kuhakikisha wananchi hao wanapata Elimu juu ya zao hilo la vitungu.

Pia Mhe. Salekwa amesema kuwa katika eneo hilo lenye ekali 76 mbali na kulima zao hilo la vitunguu lakini tayari wamekwisha kutenga maeneo ya kulima mboga mboga kwa lengo la kutokomeza udumavu.

Nae Meneja wa Mradi huo Mhandisi Peter Akonaay amesema kuwa ujenzi wa mradi huo mpaka sasa umefikia asilimia 98 umegharimu zaidi ya Millioni Mia Tano na utanufaisha kaya 46 ambapo ni sawa na watu 131.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.