• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC: SERUKAMBA ATOA AGIZO UJENZI WA BARABARA IENDAYO KITUO CHA AFYA WENDA

Posted on: April 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amemuagiza Katibu Tawala na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kukutana na Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijajini na Mijini TARURA kuzungumza nae kwaajili ya Ujenzi wa barabara iendayo katika kituo cha Afya cha wenda kinachomilikiwa na kanisa la Katoliki Jimbo la Iringa.

Hayo yamejiri wakati aliposhiriki katika uzinduzi wa jengo la upasuaji mkubwa lililopo katika kituo hicho.

Akitoa taarifa ya kituo hicho mganga mfawidhi wa kituo hicho Sister Sabina Mangi amesema ujenzi wa jengo hilo mpaka kukamilika kwake ni zaidi ya Millioni Mia sita zimetumika kukamilisha jengo hilo wakati ununizi wa vifaa umegharimu kiasi cha shilingi Milioni Mia Mbili Tisini na Tano, ambapo amesema jengo hilo limeleta ukombozi kwa akina mama kwani kwa sasa wanafanyiwa upasuaji wa dharura na upasuaji wa kawaida katika kituo hicho.


Pia ameongeza kwa kusema mbali na mafanikio hayo lakini wanakumbana na changamoto ya miundombinu mibovu ya barabara ambapo wameiomba serukali iweze kuwasaidi mita 900 za barabara


Akizungumza katika hafla hiyo Mhe. Serukamba amepongeza jitihada kubwa zinazofanywa na taasisi za kidini kwa kutoa huduma za kijamii huku akiahidi na kuagiza kwa watendaji kuhakikisha wanakaa na kujadili na TARURA namna watakavyoondoa changamoto ya barabara inayoelekea katika kituo hicho.

"Nitoe Maagizo kwa Katibu Tawala wa Mkoa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mumlete mtu wa TARURA aje aangalie aone tunafanya nini kuboresha barabara hii"

Nao baadhi ya wananchi wametoa shukrani nyingi sana kwa serikali na kanisa kwa kukiendeleza kituo hicho tangu kilipoanza mpaka sasa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.