• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

SIMBA WAVAMIA BAADHI YA VIJIJI NA KULA MIFUGO IRINGA.

Posted on: June 21st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe, Halima Dendego ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa ameambatana na wajumbe wa kamati hiyo amewatoa hofu wananchi wa kijiji cha tanangozi kutokana na taharuki ya uwepo wa simba wanakula mifugo yao na kutishia maisha yao.

Mhe, Mkuu wa Mkoa amesema jambo hilo linafanyiwa kazi na zoezi la kuwatafuta simba hao linaendelea hivyo amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya wanyama hao.

"Mhe, Dendego amesema naomba wananchi mshiriki kutoa taarifa tu na kazi ya kuwatafuta na kuwakamata waachieni wataalamu wa wanyamapori"

Kwa upande wake Mkuu wa hifadhi ya taifa ya Ruaha Godwell Ole Meing'ataki amewataka wananchi kuwa watulivu kwani wamejipanga kuhakikisha wanawapata simba hao haraka iwezekanavyo kabla awajaleta madahara Kwa binadamu.

Pi amewatahadharisha wananchi kuto kula mabaki ya mifugo hiyo Kwa katika zoezi la kuwakamata Simba hao wanatumia mbinu mbalimbali ikiwemo kutumia madawa ya usingizi Kwa kuweka kwenye masalia ya mifugo hiyo Kwa sababu Simba ana tabia ya kula na kubakiza mzoga na Kisha anarudia tena.

                                                                                   Imetolewa na Afisa habari ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA GRUMA 2025

    July 05, 2025
  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • Tazama zote

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.