• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

Posted on: February 28th, 2023


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima dendego wakati akikabidhi Pikipiki kwa maafisa ugani wa Halmashauri zote ziliopo mkoani humo huku akiwataka kuhakikisha wanafanya kazi kwa nguvu zote ili kukuza uchumi wa Nchi.

Akizungumza na Maafisa Ugani hao leo 28/02/2023 Mhe.Dendego amesema kuwa kutokana na changamoto kadha wa kadha zilizokuwa zikiwakumba maafisa hao kubwa ikiwa ni suala la usafiri jambo ambalo lilipelekea wakulima kutokufikiwa kwa wakati na kukwamisha uzalishaji wa mazao kwa sasa kilio hicho kimekwishwa baada ya kukabidhiwa pikipiki na kwa sasa uchumi wa mkoa wa Iringa utazidi kukua.

“lakini hatuwezi kulima kilimo bora kama wakulima wetu walio wengi wale wa chini awatapata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa maafisa Ugani kwahiyo leo tunapoenda kugawa hizi pikipiki ndugu zangu ninaomba sana tuweke mkataba leo mimi nitazigawa kwa maelekezo ya kugawa lakini kuna hatua ya pili tutasainiana mikataba kama maafisa ugani na ofisi yangu ya mkoa na wilaya nione pikipiki hizi zinaenda kubadirisha kilimo chetu tunataka kuona mapinduzi ya kijani katika mkoa wa Iringa”

Eng. Ndugu Leonard Masanja ni katibu Tawala Mkoa wa Iringa amewasisitiza maafisa Ugani hao kufanya kazi kwa bidii kuhakikisga wanawafikia wakulima wote katika maeneo yao na kuwapa elimu iliyo sahihi na huku wakitumia vyombo hivyo kama ilivyopangwa.

Awali akitoa taarifa Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Ndugu Elias Luvanda amesema kuwa mpaka sasa mkoa wa Iringa umepokea pikipiki 216 kwaajili ya maafisa ugani na pia Mkoa umepokea Pawatila moja kwaajili ya kusaidia Ugani ili kukuza sekta hiyo ya kilimoWakizungumza baada ya kukabidhiwa pikipiki hizo maafisa ugani hao wametoa shukrani na pongezi kwa serikali kwa kuwaletea vitendea kazi hivyo huku wakiahidi kuwahudumia wananchi wote waliopo katika maeneo yao.

Imetolewa na Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.