• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Posted on: August 5th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe Halima Dendego amewafahamisha wananchi wa Mkoa wa Iringa kuwepo kwa ugeni wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaetarajiwa kupokelewa katika Mkoa wa Iringa tarehe 11 Agosti,2022.

Mheshimiwa Rais atakuwa na ziara ya kikazi hadi tarehe 13 Agosti, 2022 na katika ziara hiyo anatarajia kukagua shughuli za miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Mkoa wa Iringa kama ifuatavyo:

Tarehe 11/08/2022 Mheshimiwa Rais atapokelewa na uongozi wa Mkoa katika eneo la Nyororo Wilayani Mufindi ambapo atasalimia wananchi na baada ya hapo ataelekea katika Kijiji cha sawala ambako ataweka jiwe la Msingi kwenye mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lami Sawala-Iyegea yenye urefu wa 30.3 Km. Akiwa katika eneo hilo la mradi pia atawasalimia Wananchi.

Mhe.Rais ataondoka Sawala kuelekea Ikulu ndogo Iringa. Akiwa njiani, atapata fursa ya kusalimia wananchi katika maeneo ya Mafinga Mji na Ifunda.

Aidha, jioni atazungumza na wazee.

Tarehe 12/08/2022 Mheshimiwa Rais atafanya shughuli zifuatazo:

Ataweka Jiwe la Msinga katika Mradi wa Upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa na atasalimia Wananchi katika eneo hilo.

Vilevile, siku hii atahutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara utakaofanyika katika Uwanja wa Samora Mjini Iringa.


Tarehe 13/08/2022 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahitimisha ziara yake katika Mkoa wa Iringa na kuondoka kuelekea Dodoma. Aidha, atakapokuwa njiani, atasimama Isimani Tarafani kwaajili ya kusalimia wananchi.

Hivyo Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego anatoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi sana na kushiriki kikamilifu katika ziara hiyo ya Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, katika maeneo ambayo atasalimia wananchi, ataweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mkoa wa Iringa na kushiriki mkutano wa hadhara tarehe 12 Agosti,2022.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.