• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 26th, 2023

Wanafunzi waliopo katika kata ya Ulanda tarafa ya Kalenga katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wa Km 13 kwenda kupata masomo katika shule ya Sekondari ya Kalenga.

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha na kuongeza miundombinu ya Elimu ambapo imemwaga zaidi ya Tsh. Millioni Miatano za ujenzi wa Shule ya sekondari ya Weru katika kata hiyo.

Wakizungumza na Mkuu wa Mkoa Viongozi na wananchi wa kata ya Ulanda wametoa pongezi nyingi sana kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikia kilio chao na kutoa fedha nyingi za ujenzi wa shule ambapo wamesema uwepo wa shule hiyo utaleta maendeleo katika taifa hili kwani wanafunzi kwa sasa ile adha waliokuwa wakikumbana nayo ya kutembea umbali mrefu kwenda kupata masomo itakuwa imekwisha hivyo watasima katika mazingira mazuri na kufaulu.

Ikumbukwe kuwa eneo shule hiyo ilipojengwa ni eneo ambalo familia ya mzee Sambala imejitolea bure ili ijengwe shule hiyo jambo ambalo limemfurahisha mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego ambapo amewashukuru sana wanafamilia kwa kujitoa kwao kwa moyo mweupe pasipo kuwa na tatizo lolote.

Hivyo basi Mhe. Dendego ameuagiza uongozi wa Halmashauri hiyo kwenda kubadirisha jina la usajili wa shule hiyo na kwamba shule hiyo iitwe Sambala ili kuienzi familia iliyojitolea eneo hilo.

Hii ni ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi katika mkoa huo ikiwemi miradi ya kuboresha shule za sekondari SEQUIP awamu ya Pili.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.