• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WANAFUNZI WA VYUO VIKUU NA KATI IRINGA WAMPONGEZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT SAMIA SULUH HASSAN

Posted on: December 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewataka vijana nchini kuwa wazalendo kwa kuyatangaza mazuri yote yanayofanywa na Serikali.

Ameyasema hayo wakati wa kongamano la kumpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania kwa kazi anazozifanya lililoandaliwa na Umoja wa Wananfunzi wa Vyuo Vikuu CCM Mkoani Iringa.

Mhe. Dendego amesema kuwa vijana ndio nguvu kazi na taifa liweze kusonga mbele na kuwa na mandeleo linahitaji vijana wenye nguvu na wazalendo katika nchi yao hivyo amewasisitiza wanafunzi hao kusoma kwa bidi na kuisemea vyema Serikali kwa mambo makubwa inayoyafanya ikiwemo uboreshaji wa Miundombinu na utoaji wa Huduma nzuri kwa Wannchi wake.

Pia Mhe. Dendego ameongeza kwa kutoa rai kwa Wanafunzi hao kufanya juhudi katika kujikinga na maambukuzi ya virusi vya UKIMWI na kusema kuwa wao ndio nguvu kazi ya Taifa hivyo wanatakiwa kufanya kazi kwa bidi na kujiepusha na ngono zembe.

Akitoa salaamu za Chama Cha Mapinduzi Mwenezi wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Joseph Lyata humo amewasisitiza Wanafunzi hao kutumia vyema Teknolojia kwa kutangaza utamaduni wa Kitanzania na yale yote yanayofanywa na Serikali.


Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.