• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WANAFUNZI WATAKIWA KUSOMA KWA BIDII- KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA

Posted on: May 23rd, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Wanafunzi nchini wametakiwa kusoma kwa bidii ili kuunga mkono uwekezaji wa serikali katika sekta ya elimu ili ichangie katika uchumi wa viwanda.

Kauli hiyo iliyolewa na kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2018, Charles Kabeho alipokuwa akitoa ujumbe wa Mwenge wa uhuru katika sekondari ya Igombavanu wilayani Mufindi leo.

Kabeho alisema kuwa serikali inayoongozwa na Rais, Dkt John Magufuli imeondoa ada na michango shuleni ambayo ilikuwa ni kero kwa wananchi ili wanafunzi wengi waweze kufurahia haki ya kupata elimu nchini. Alisema kuwa elimu ni muhimu sana kwa jamii katika utekelezaji wa dhamira ya serikali ya kuelekea uchumi wa viwanda ifikapo mwaka 2025. “Uchumi wa viwanda unategea sana uwekezaji katika elimu. Serikali ya awamu ya tano kwa kuona umuhimu huo, iliamua kutoa elimu bila malipo ili watanzania wote wapate elimu hiyo msingi” alisema Kabeho. Aidha, aliongeza kuwa serikali imedhamiria kuboresha elimu kuanzia ya awali hadi elimu ya juu. Uboreshaji wa sekta ya elimu nchini unakwenda pamoja na ukuaji wa elimu ya ufundi na ufundi stadi kwa kuweka msisitizo katika maendeleo ya sayansi, teknolojia na ubunifu, aliongeza.

Mwenge wa uhuru mwaka 2018, ukiwa wilayani Mufindi utatembelea miradi sita ya maendeleo yenye thamani ya shilingi 9,199,229,136. Kati ya fedha hizo mchango wa serikali kuu shilingi 55,700,000. Halmashauri shilingi 97,933,250, wadau wa maendeleo shilingi 8,976,015,936 na nguvu za wananchi shilingi 69,579,950.

=30=


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.