• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUWAPA KIPAOMBELE VIONGOZI WA DINI IRINGA

Posted on: August 7th, 2018

Na ofisi ya mkuu wa mkoa, Iringa

Watendaji wa serikali mkoani Iringa wametakiwa kuwapa kipaombele viongozi wa dini wanapofika katika ofisi za umma kupata huduma mbalimbali.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Hapi alipokuwa akiongea na viongozi wa dini wa mkoa wa Iringa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa Mkoa.

Hapi alisema “mimi naheshimu sana viongozi wa dini katika kazi na utumishi wetu. Sitataka viongozi wa dini wapange foleni kwenye mabenchi ya ofisi za umma. Namuelekeza Katibu Tawala Mkoa na wakuu wa Wilaya lazima viongozi hawa wasikilizwe kwa haraka wanapofika katika ofisi za umma. Mambo ya viongozi wa dini yapewe kipaombele”. Viongozi wa dini wanajukumu kubwa la kuwahudumia wananchi na kuliombea taifa, wasikilizwe haraka hoja zao kwa kuzingatia sheria na taratibu za nchi.

Hapi alisema kuwa uongozi wake una nia thabiti ya kuleta maendeleo kwa mkoa wa Iringa. “Tunatamani kufanya mambo makubwa katika mkoa wetu, tunatamani kukuza utalii katika mkoa wetu ukizingatia tuna hifadhi kubwa ya taifa ya Ruaha, tunatamani kuhamasisha ujenzi wa viwanda vingi mkoani Iringa, tunatamani kuuza unga nje ya nchi badala ya kuuza mahindi ili vijana wetu wapate ajira ndani ya mkoa” alisisitiza Hapi.

Wakati huohuo, Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Happines Senenda alisema kuwa alishangazwa na wingi wa muitikio wa viongozi hao wa dini katika kikao na mkuu wa Mkoa. “Hii imenidhihirishia kuwa wana Iringa ni wamoja” alisema Senenda. Hakika tunaanza na Mungu, aliongeza.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa alifanya kikao rasmi na viongozi wa dini ili kujitambulisha na kuomba ushirikiano wao katika kufanikisha malengo ya serikali katika mkoa wa Iringa

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.