• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

ZIARA YA MHE RC SENDIGA NA BI SENEDA, OFISINI KWA MHE WAZIRI GWAJIMA

Posted on: June 3rd, 2021

ZIARA YA MHE RC SENDIGA NA BI SENEDA, OFISINI KWA MHE WAZIRI GWAJIMA. 3/6/2021


Mhe Queen Sendiga, Mkuu wa Mkoa Iringa akiwa ameambatana na bi, Happynes Seneda Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, leo wamefanya ziara ya kikao kazi katika ofisi ya Mhe waziri wa Afya ambapo wamefanya mazungumzo ya sekta ya afya kwa lengo la kuboresha huduma kwenye hospitali zilizopo ndani ya Mkoa wa Iringa.


Mhe Gwajima Waziri wa afya kumekuwa na changamoto kubwa sana katika uendeshaji wa hospitali zetu kwa sababu kuna udanganyifu mkubwa sana hasa katika kununua dawa, bima ya afya pamoja na watumishi wa afya kufanya kazi sehemu mbili kwa maana ya serikali na hospitali binafsi hii inaondoa umakini kiutendaji na kupelekea baadhi ya watumishi hao kuwa na maduka yao na hospitali binafsi.


Mhe Gwajima, amesema kuwa hii vita siyo ndogo maana unapofatilia ubadhilifu huu kumbuka unagusa maslahi ya watu hivyo wako tayari hata kukuuwa.


Hata hivyo Mhe Gwajima Waziri wa afya, amesema kuwa amezipokea changamoto za Mkoa wa Iringa hivyo atahakikisha anapatikana daktari bingwa wa mifupa, magonjwa ya ndani na pua na koo, pia amewataka MSD wafike mara moja waende wakafunge vifaa vyote vya mashine za usingizi.


Mhe Sendiga, amemwambia Mhe waziri Gwajima kuwa kumekuwa na tatizo kubwa sana la ubakaji na ulawiti ndani ya Mkoa Iringa na ili linatoka na waganga wa jadi ambao siyo wahaminifu ( matapeli) wanawadanganya wateja wao kuwa ili wafanikiwe lazima wabake watoto ndio wafanikiwe, akitoa ufafanuzi bi, Seneda (RAS) amesema pindi jeshi la polisi linapowakamata waganga hao Mwenyekiti wa chama cha waganga wa jadi Taifa anapiga simu polisi na kuwataka wamuachie haraka sana mganga mwenzao kwani yupo kisheria.


Mhe Gwajima, amesema kuwa Kuna shida kubwa sana hapa ya kushughulikia ili tatizo maana awa waganga wa jadi wanekuwa wakiingilia mifumo ya serikali na kusababisha migogoro kwa jamii na serikali, hata hivyo amesema atakuja Iringa na kufanya kikao na KUU Iringa, viongozi wa jadi, amsema yeye amjitoa muhanga kwa lengo la kusaidia Taifa kwa ujumla. Nachukizwa sana na mabango ya waganga mitaani, pia Leo atakutana na Mhe Simbachawene kujadili juu ya hili tatizo la waganga wa jadi, mpaka Sasa Kuna vyama 14 wa waganga wa jadi hapa Nchini.


Mhe Sendiga, alimshukuru sana Mhe Gwajima kwa kikao kazi hicho ambacho kitaleta matokeo chanya kwenye Mkoa wa Iringa.


Imetolewa na Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa, humphrey Kisika.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.