• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

ZIARA YA NAIBU WAZIRI YA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO KUKOMESHA UDUMAVU MKOANI IRINGA, KWA KUANZISHA MPANGO WA KUTUMIA UNGA WENYE VIRUTUBISHO

Posted on: January 8th, 2020

Katika ziara yake ya siku mbili tarehe 6-7/01/2020 Mkoani humu ametembelea kituo kilichoanzishwa kusaga unga wenye virutubisho ili kunusuru hali ya udumavu katika familia. Udumavu unasababisha kurudisha nyuma maendeleo ya familia hata nchi kwa ujumla, kwani mtu mwenye udumavu hawezi kukua kiakili na kimwili, ameyasema hayo Mheshimiwa Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mheshimiwa Ndugulile.

Mheshimiwa Ndugulile ametembelea sehemu mbalimbali kuangalia maendeleo ya hali ya afya na kuagiza unga utakaotumika kuanzia sasa ni ule wenye virutubisho. Utatumika mashuleni na nyumbani ili kunusuru watoto. Unga huo wenye virutubisho ni mzuri kwa watoto na mama mjamzito. Pia alipotembelea hospitali ya Rufaa Iringa, ameagiza kuwepo na jiko kwa ajili ya wazazi wanaosubiri kujifungua hii itasaidia kuwaagiza wazazi waje na chakula cha lishe kupikia hapo. Ameagiza elimu itolewe kwa wajasiriamali wanaoandaa unga ili waandae wenye virutubisho.

Mheshimiwa Ndugulie akiwa katika Kijiji cha Tanangozi alishiriki kuwapima watoto uzito, urefu na kuwanywesha uji wenye virutubisho ambao ulikuwa umeandaliwa na Watoa Huduma za Afya.

Mheshimiwa Ndugulile pia ameagiza NHIF kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili waweze kujiunga na mfumo wa Bima kwa vifurushi, kwani katika kukagua kwake hakuridhika na uhamasishaji unaotolewa kwa wananchi.

 Mheshimiwa pia ametembelea Kata ya Rungemba Wilayani Mufindi na kukagua maendeleo ya hali ya afya kwa wakazi wa Kata hiyo, pia Chuo cha Maendeleo ya Jamii na kuona maendeleo na changamoto za chuo hicho.

Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Ndugulile ameagiza watumishi wote wa Idara ya Afya wawe wanavaa vitambulisho wakati wote wanapotoa huduma, huduma kwa wazee iboreshwe, huduma za dharura zitolewe ipasavyo na bila malipo yoyote wakati wa kutoa huduma hasa katika huduma za mama na mtoto.

Mheshimiwa Ndugulile pia amewashukuru wadau mbalimbali kwa kuchangia maendeleo ya ujenzi wa baadhi ya majengo katika Hospitali ya Rufaa Mkoni humu.

Imetolewa na:

Ofisi ya Habari Mkoa,

Humphrey Kisika.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.