Mkuu wa mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi amezitaka kampuni zote zilizopo mkoani Iringa zinazojishughulisha na ununuzi na uuzaji wa mbao pamoja na uuzaji wa nguzo za umeme kuhakikisha wanalipa kodi ya asilimia tano(5%) kwa mujibu wa sheria za nchi hii.
Mapokezi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Ally Salum Hapi pamoja na Katibu Tawala Mkoa Bi. Happiness William Seneda Tarehe 06 Agosti 2018
Maadhimisho ya siku ya kupambana na Dawa za kulevya kitaifa kufanyika Iringa.
Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.