• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

BENKI YA MUCOBA KUKOPESHA BILIONI 5 WAKULIMA

Posted on: June 26th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Benki ya MUCOBA imepanga kutoa mikopo ya kilimo zaidi ya shilingi bilioni tano katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt John Magufuli za kuendeleza sekta ya kilimo nchini.

Kauli hiyo ilitolewa na meneja mkuu wa benki ya MUCOBA, Ben Mahenge alipokuwa akisoma taarifa ya benki hiyo katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa stakabadhi ghalani katika Tarafa ya Pawaga wilayani Iringa.

Mahenge alisema “mheshimiwa mgeni rasmi, kwa mwaka 2018 benki imepanga kutoa mikopo ya kilimo yenye thamani ya shilingi bilioni 5.052”. Alisema kuwa lengo ni kuwawezesha wakulima kuzalisha kwa wingi, na kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. John Magufuli ya kuongeza kipato kwa wakulima. Mwaka jana benki ilianzisha mikopo inayoitwa wakulima Digital kwa ushirikiano wa AGRA na SELF, alisema. Mikopo hiyo hutolewa kwa awamu tatu kwa mkulima. Alizitaja awamu hizo kuwa ni wakati wa maandalizi ya shamba, wakati wa kilimo na kupalilia na wakati wa kuvuna.

Akiongelea faida za mikopo hiyo, alizitaja kuwa ni kupunguza usumbufu na muda wa kupata mkopo, kupunguza gharama za kufuata mkopo kwenye vituo na kutunza siri za wateja. Faida nyingine alizitaja kuwa ni usalama wa wateja kuimarishwa na kupunguza matumizi yasiyo lengwa.

Meneja huyo alisema kuwa benki yake iliona ni jambo jema kutoa mikopo ya stakabadhi ghalani hasa kipindi cha mavuno. Lengo ni kuwawezesha wakulima kuweza kupata fedha ya kuvunia na kujikimu katika kipindi ambacho watakapo kuwa wametunza mazao yao ghalani wakisubirishia bei ya mazao yao kuongezeka sokoni ili waweze kuuza kwa bei nzuri, alisema.

Akiongelea changamoto ya dhamana kwa wakulima, alisema kuwa wakulima wengi hawana dhamana na kusema kuwa dhamana ya wakulima itakuwa mazao yao yatakayokuwa yametunzwa gharani.

Ikumbukwe kuwa benki ya MUCOBA imejikita kuwahudumia wananchi wa kipato cha chini hasa wakulima ikiwa imetoa mikopo ya kilimo kiasi cha shilingi bilioni 11 kwa mwaka 2015, 2016 na 2017.

=30=



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.