• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

BENKI YA MUCOBA KUTOA MIKOPO STAKABADHI GHALANI

Posted on: June 25th, 2018

Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Benki ya MUCOBA kutoa fursa ya mikopo ya stakabadhi ghalani ili kuwanufaisha wakulima wa mpunga wilayani Iringa.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza katika hotuba yake ya uzinduzi wa mfumo wa mikopo ya stakabadhi ghalani kupitia benki ya MUCOBA katika Tarafa ya Pawaga, wilayani Iringa.

Masenza alisema kuwa wakulima wamekuwa na changamoto ya upatikanaji bei nzuri ya mpunga katika Tarafa ya Pawaga. “Jambo hili limesababisha wakulima wetu kuendelea kunyonywa na walanguzi kwa kuuza mazao yao kwa bei ya chini na kusababisha wakulima wa Mkoa wa Iringa na Tanzania kwa ujumla kuendelea kuwa masikini na huku walanguzi wakiendelea kuneemeka zaidi kwa jasho la wakulima wetu. Hivyo basi, kwa uamuzi huu wa Benki ya MUCOBA wa kuweza kuanzisha fursa hii ya mikopo ya stakabadhi ghalani ili wakulima wetu waweze kutunza mazao yao katika Ghala hili na kupewa mikopo ya riba nafuu, ili kusaidia wakulima kujikimu wakati wakisubiria soko na bei nzuri za mazao yao” alisema Masenza. Benki ya MUCOBA ni ukombozi kwa wakulima wa mpunga katika Tarafa ya Pawaga, alisema. Aidha, aliwataka wakulima wa mpunga wa Pawaga kuchangamkia fursa hiyo muhimu na kuunga mkono juhudi za benki na serikali.

Mkuu wa Mkoa alitoa wito kwa wadau kushirikiana na benki ya MUCOBA kutoa elimu na kuwahamasisha wananchi kutumia fursa ya mikopo ya stakabadhi ghalani. “Ninatambua ukweli kuwa wakulima wengi hawana elimu ya  kutosha kuhusu stakabadhi ghalani, hivyo napenda kutoa wito kwa wadau wengine wote  kushirikiana na Benki ya MUCOBA  kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kutumia fursa hii ya mikopo ya  stakabadhi ghalani  na pia kutumia huduma bora za benki ya MUCOBA hapa Pawaga na maeneo mengineyo ambako Benki inafanya shughuli zake. Pia sisi kama serikali tutakuwa bega kwa bega katika kusaidia juhudi za kuwaelimisha wakulima wetu juu ya umuhimu wa stakabadhi ghalani, pia hatuta sita kusaidiana na Benki yetu ya wananchi MUCOBA kupeleka huduma hii mahali pengine” alisema Masenza.  

Benki ya MUCOBA imefungua kituo cha huduma za kifedha katika Tarafa ya Pawaga ili kuweza kuwahudumia wananchi wanyonge kupata mikopo kwa ajili ya kilimo cha mpunga wilayani Iringa.

=30=


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.