• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

IRINGA KUTUMIA MAONESHO YA UTALII KUKUZA UTALII

Posted on: February 10th, 2018



Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkoa wa Iringa unatumia mkakati wa maonesho ya utalii karibu kusini kuchochea na kukuza utalii kwa ukanda wa kusini mwa Tanzania.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akisoma taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Iringa kwa Makamu wa Rais katika rest house ya NSSF Iringa mjini jana.

Masenza alisema “maonesho ya utalii kusini yanatumika kama mkakati maalum wa kufungua sekta ya utalii kwa ukanda wa kusini ambao umejaa fursa na vivutio vya kipee katika utalii. Mkoa wa Iringa ukiwa mratibu umeandaa mipango ya kuboresha wa maonesho haya kwa kutenga eneo la Kihesa Kilolo kama eneo maalum kwa ajili ya maonesho ya utalii kusini. Eneo hili litatumiwa na wadau wa utalii na wadau wa maendeleo kujenga miundombinu kwa ajili ya kuonesha huduma na bidhaa za sekta ya utalii”.

Idadi ya watalii waliotembelea vivutio vya utalii kwa mwaka 2015 walikuwa 8,112 kati ya hao watalii wa nje walikuwa 6,875 na watalii wa ndani walikuwa 3,072. Kwa mwaka 2016 jumla ya watalii 36,736 kati ya watalii hao watalii wa ndani walikuwa 22,280 na watalii wa nje walikuwa 14,456 alisema mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mkoa kwa kushirikiana na wadau unaendelea kuvihifadhi na kuvitangaza vivutio hivyo ili kukuza utalii. Alisema kuwa Mkoa wa Iringa ambao ni kitovu cha utalii kwa mikoa ya nyanda za juu kusini umeweza kuratibu kwa kuandaa maonesho ya utalii karibu kusini kwa miaka miwili mfululizo (mwaka 2016 na mwaka 2017).

Maonesho ya utalii karibu kusini hushirikisha mikoa ya nyanda za juu kusini ambayo ni Iringa, Njombe, Mbeya, Ruvuma, Songwe, Rukwa na Katavi.

Makamu wa Rais yupo katika ziara ya siku tano mkoani Iringa pamoja na mambo mengine atazingua mradi wa kuendeleza utalii ukanda wa kusini REGROW.

=30=

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.