• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

IRINGA WATAKIWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA

Posted on: November 17th, 2017

IRINGA WATAKIWA KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA

Na. Dennis Gondwe, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa -IRINGA

Wananchi wa mkoa wa Iringa wametakiwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya ili waweze kunufaika na matibabu bila malipo pindi wanapougua. Kauli hiyo iliyolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, mheshimiwa Amina Masenza alipokuwa akiongea katika kipindi moja kwa moja cha Nyota ya asubuhi kinachorushwa na kituo cha redio Furaha cha mjini Iringa leo.

Mheshimiwa Masenza alisema “ombi langu kwa wananchi wa mkoa wa Iringa, tuendelee kujiunga na mfuko wa bima ya afya ili tuendelee kutibiwa bila bugdha”. Alisema kuwa matibabu ni gharama kubwa ila kwa mwananchi aliyejiandaa vizuri, hawezi kupata tatizo la gharama ya matibabu pindi anapougua. Alisema kuwa bima ya afya ni mkombozi kwa wananchi wa kawaida ambao wanapougua hujikuta hawana fedha za kugharamia matibabu.

Aidha, alishauri wananchi hao kuwakatia bima watoto kwa gharma ya Tshs 54,000 ambayo itamuwezesha kutibiwa bure. Alisema kuwa bima ya watoto ni muhimu kwa sababu watoto wengi ni wahanga wa magonjwa kwa sababu kinga yao ya mwili haijaimarika vizuri. “Bima ya watoto kwa Tshs 54,000 itawawezesha watoto kutibiwa sehemu mbalimbali bila gharama” alisema mheshimiwa Masenza.

Akiongelea kampeni ya kupima afya “Afya check campaign” Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, Dr Faith Kundy alisema kuwa Manispaa ya Iringa itakuwa mwenyeji wa kampeni ya kupima afya  itakayozinduliwa kesho na mkuu wa mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza katika uwanja wa bustani ya Manispaa (Garden) kwa lengo la kuwapatia fursa wananchi wa Manispaa kupima hali ya afya zao bure. Alisema kuwa katika kampeni hiyo magonjwa yasiyo ya kuambukiza na magonjwa ya kuambukiza yatapimwa bure. Kampeni ya kupima afya itakwenda sambamba na ugunduzi wa kifua kikuu ngazi ya jamii.

=30=



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.