• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

IRINGA WATAKIWA KUSHIRIKI KAMPENZI YA FURAHA YANGU

Posted on: July 21st, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Wananchi mkoani Iringa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika uzinduzi wa kampeni ya furaha nyangu ya kupima virus vya ukimwi na kuanza dawa mapema za kufubaza virus vya ukimwi.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, amina masenza alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa kampeni ya furaha yangu ya kupima virus vya ukimwi na kuanza tiba mapema katika ofisi ya mkuu wa mkoa jana.

Masenza alisema kuwa ni muhimu kwa wananchi wote kujitokeza kushiriki katika uzinduzi wa kampeni hiyo. “Nitoe wito kwa Wananchi wote kushiriki kikamilifu katika uzinduzi na mwitikio wa Kampeni hii muhimu kwa mkoa wetu. Baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo, huduma zitaendelea kutolewa katika hospitali zote, vituo vyote vya afya na Zahanati zote mkoani Iringa” alisema masenza.

Kampeni hii ya Kupima na kuanza kutumia dawa za kufubaza makali ya VVU mapema inakwenda na kaulimbiu ya ujumla isemayo “Furaha Yangu” – Pima, Jitambue, Ishi inaanza kwa kuwalenga Wanaume na kisha makundi mengine ya watu walio katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya VVU, aliongeza. Aliyataja makundi hatarishi kuwa ni wasichana walio katika umri wa balehe, wanawake vijana wenye umri wa miaka 15-24, akinamama wajawazito na wanaonyonyesha pamoja na watoto wao.

Mkuu wa mkoa alisema kuwa uzinduzi wa kampeni ya “Furaha Yangu” unaonesha dhamira ya serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Rais, Dkt. John Pombe Magufuli ya kuhakikisha kuwa kasi ya mapambano ya VVU na UKIMWI, inaongezwa ili kufikia zile “tisini tatu” ifikapo mwaka 2020. Alizitaja kuwa ni asilimia 90 ya watu wanaoishi na VVU wawe wamejua hali zao za maambukizo; asilimia 90 ya waliopimwa VVU na kugundulika kuwa wana maambukizo wapatiwe dawa za kufubazamakali ya VVU; na asilimia 90 ya watu wanaotumia dawa wawe wamefubaza VVU.

Kampeni ya “Furaha Yangu” itazinduliwa katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa tarehe 24 Julai, 2018 kuanzia saa mbili asubuhi na kuendelea kwa kipindi cha miezi sita ikitarajiwa kuwafikia na kuwapima watu 90,000.

=30=


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.