• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

IRINGA YAKAGUA YA MIRADI 18 KUJIRIDHISHA NA THAMANI YA FEDHA- RC MASENZA

Posted on: May 23rd, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkoa wa Iringa umekagua miradi 18 ya maendeleo yenye zaidi ya shilingi bilioni tatu katika sekta mbalimbali ili kijiridhisha na thamani ya fedha katika utekelezaji wa dhana ya utawala bora.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akisoma taarifa ya mkoa wa Iringa wakati wa kupokea Mwenge wa uhuru kutoka Mkoa wa Mbeya leo.

Masenza alisema kuwa Mkoa kupitia taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) imekagua miradi 18 ya maendeleo katika sekta za maji, elimu na barabara. Miradi hiyo ilikuwa na thamani ya shilingi 3,380,725,980.72. Alisema kuwa lengo la ukaguzi huo ni kufuatilia matumizi na thamani ya fedha katika miradi hiyo. Zimefanyika kazi 12 katika kudhibiti mianya ya rushwa kwa kuchambua mifumo sita na kufanya warsha sita na wadau wa mapambano ya rushwa alisema Masenza.

Katika hatua nyingine, TAKUKURU Mkoa wa Iringa imetoa elimu ya mapambano dhidi ya rushwa na madhara yake kwa wananchi 4,909 kupitia semina 52, mikutano ya hadhara 25, klabu za wapinga rushwa 63. Aidha, machapisho 1,259 yenye ujumbe wa mapambano dhidi ya rushwa yamegawiwa kwa wananchi.

Akiongelea watuhumiwa wa makossa ya rushwa waliofikishwa mahakamani, mkuu wa Mkoa alisema kuwa watuhumiwa wa makosa ya rushwa kwa kesi nne na majalada 13 ya uchunguzi yakikamilika baada ya kupokea malalamiko 126 ya rushwa. Uchunguzi wa malalamiko mengine unaendelea alisema.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa mapambano dhidi ya rushwa yatawezekana ikiwa kaulimbiu ya mapambano hayo isemayo ‘kataa rushwa-jenga tanzania’ itatekelezwa kwa vitendo.

Mwenge wa uhuru mkoani Iringa utakimbizwa katika Wilaya tatu  na halmashauri tano ukikagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi 40 ya maendeleo.

=30=



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.