• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Iringa Yaridhishwa na Ushirikiano wa Wanahabari

Posted on: April 20th, 2018

IRINGA YARIDHISHWA NA USHIRIKIANO WA WANAHABARI

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali mkoani Iringa imeridhishwa na ushirikiano inaopata kutoka kwa wanahabari katika kufanikisha mipango ya maendeleo ya mkoa kwa wananchi wake.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya sherehe za siku ya wafanyakazi kitaifa mkoani Iringa jana.

Masenza alisema kuwa waandishi wa habari wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa kwa serikali ya mkoa katika kufanikisha mipango ya maendeleo. Alisema kuwa ushirikiano wa waandishi wa habari umekuwa chachu ya mafanikio katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika mkoa wa Iringa.

Akiongelea maadhimisho ya siku ya wafanyakazi kitaifa kwa mkoa wa Iringa, Masenza alisema kuwa wakazi wa mkoa wa Iringa wanabahati. “Wanairinga tujihesabu kutambuliwa na kupewa heshima kubwa sana hivyo, tumejisikia vizuri kwa heshima hii tuliyopewa”. Aidha, aliwataka wananchi kutumia sherehe za Mei Mosi kama fursa ya kibiashara. Alisema kuwa watumie nafasi hiyo kuonesha ukarimu kwa wageni watakaotembelea mkoa huo kwa ajili ya kushiriki sherehe hizo.

Wakati huohuo, katibu mkuu wa TUCTA taifa, Dkt Yahya Msigwa aliupongeza mkoa wa Iringa kwa kukubali kuwa mwenyeji wa sherehe hizo. “Sisi kama TUCTA tumerithishwa na ushirikiano unaotolewa na uongozi wa mkoa katika kufanikisha sherehe za Mei Mosi” alisema Dkt Msigwa. Aliseongeza kuwa katika maadhimisho hayo, makongamano ya wafanyakazi yameandaliwa ili kujadili masuala ya kazi na changamoto zinazowakabili wafanya kazi. “Wafanyakazi wanapopewa elimu juu na masuala yanayohusu haki zao migogoro ya wafanyakazi imekuwa ikipungua na ufanisi wa kazi kuongezeka” alisema Dkt. Msigwa.

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei Mosi mwaka 2018 yataongozwa na kaulimbiu isemayo uunganishaji wa mifumo ya hifadhi ya jamii ulenge kuboresha mafao ya mfanyakazi na yatahudhuriwa na Rais, Dkt. John Pombe Magufuli.

=30=



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.