• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA LA MKOA WA IRINGA

Posted on: September 6th, 2019

Kikao kilifanyika katika Ukumbi wa Siasa na Kilimo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tarehe 05/09/2019,lengo likiwa ni kujadili changamoto na kutoa maoni nini kifanyike ili kuboresha uwekezaji Mkoani Iringa.

Kikao hiki kimeongozwa na Mhe. Ally Hapi Mkuu wa Mkoa wa Iringa kama Mwenyekiti  na Katibu Tawala wa Mkoa Iringa kama Katibu, pia Mhe. Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa kama mwenyeji wa Wilaya. Pia kulikuwa na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Iringa na Wakurugenzi wote wa Wilaya za Mkoa wa Iringa, wadau wa maendeleo na wafanyabiashara wa Mkoni Iringa na wawakilishi mbalimbali kutoka Wilaya zote.

Taasisi kama TANTRADE, Benki Kuu ya Tanzania, RIFO, TPSF, TCIA pia zilikuwepo ili kujadili changamoto kwa pamoja na kutolea maoni nini kifanyike.

Akitoa utangulizi katika kikao hicho, Mhe. Hapi amesema, Baraza la Biashara la Mkoa wa Iringa ni ustawi wa maendeleo yetu ya Mkoa. Kutokana na kikao hicho kutofanyika kwa muda mrefu, kwani mara ya mwisho kikao kama hicho kilifanyika Septemba, 2017, Mhe. Hapi ametoa maelekezo kuwa kikao hicho kinatakiwa kufanyika mara mbili kwa mwaka.

Kufanyika kwa vikao hivyo kunafanya wafanyabiashara kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa na wajumbe wote, ili kufahamiana na kujadili mipango na mikakati, pia kuona changamoto na kuzijadili kwa pamoja, kwani ni muhimu Serikali kushirikiana na Sekta Binafsi. Changamoto zinazoikabili nchi yetu haziwezi kutatuliwa na Serikali peke yake, hivyo ni muhimu kuwepo na Sekta Binafsi, mfano shule, kilimo, ufugaji n.k. nini kifanyike kutatua changamoto hizi kama Mkoa.

Kuna madini katika Mkoa wetu ambayo yanapatikana sehemu mbalimbali kama Nyakavangala, Ifunda, Mlata lazima iendelezwe ili watu wafanye biashara za madini. Kuwekeza katika Sekta ya viwanda, maziwa, nguzo  ili kuendeleza Mkoa wetu.

Pia kuendeleza vivutio kama Kalenga, Boma, mashamba ya chai ili watalii waingie kwa wingi katika Mkoa wetu. Mikakati mingi imewekwa kama kupanua kikwanja cha ndege,barabara ya kwenda Ruaha, kujenga mahotel ili watalii waupende Mkoa wetu.

Serikali imejipanga vizuri katika uwekezaji, ili kuwavutia watalii na wawekezaji katika kuwapatia ardhi, maji safi na salama, umeme na vyote vinapatikana bila shida na kwa wakati. Pia kuondoa kero zote kwa wawekezaji kama kunyanyaswa, kusumbuliwa, kuombwa rushwa, kutelekezwa na mengine mengi yanayofanana na hayo.

Nimetoa ombi kwa UNDP kwa ajili ya mambo haya:-

  • Kutengeneza Investment Guide
  • Ofisi Maalum kwa ajili ya wataalam
  • Capacity Building

Pia alitoa agizo kwa TANESCO kuwa, kiwanda kikishawekwa mahali ni lazima umeme ufike hapo mara moja. TARURA nao walielekezwa kuhakikisha barabara zinaptika wakati wote wa mwaka, halikadhalika kwa Mamlaka ya Maji Safi na Salama. Pia Taasisi zote wanatakiwa kufahamu Mkoani kwake kuna wawekezaji wangapi/viwanda ili wajipange katika kutoa huduma husika.

Maendeleo ya Viwanda na Changamoto Zake

Taasisi kama Fire, Washer; msigeuke kuwa kero kwa wawekezaji, wanatakiwa kuelimishwa na kupewa ataraibu na sharia. Au kutoa onyo kama kunakuwa na makosa madogomadogo ambayo yanaweza kurekebishika.

Wakaguzi wanapokwenda kukagua viwanda ni lazima wapte kibali kwa Mkuu wa Wilaya husika, na waseme wanaenda kufanya nini. Hata kama ni Jeshi la Polisi wanaenda kumkamata muhalifu lazima Mkuu wa Wilaya ajue na atoe kibali. Ili kila anayetaka kuwekeza aione Iringa  ni mahali salama.

Alimaliza kwa kusema kuwa, mkutano huu ni kwa ajili ya kujadili changamoto na mafanikio (maoni) karibuni sana.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.