• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

LOCAL RADIO ZATAKIWA KUJIKITA VIJIJINI

Posted on: August 16th, 2017

Redio za ndani ya Mikoa zimetakiwa kujikita katika kutoa huduma ya habari za vijijini ili wananchi hao wanufaike na huduma hizo.

Kauli hiyo ilitolewa na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu alipokuwa akikagua banda la kituo cha redio cha Big Star katika uwanja wa maonesho ya Nanenane wa John Mwakangale mjini Mbeya.

Wamoja alisema kuwa redio za ndani zinawajabu wa kutoa huduma za habari zaidi vijijini. Aliongeza kuwa vituo vingi vya redio vipo katika makao makuu ya miji na masafa yake kuishia katika miji. “Local redio toeni huduma za habari za wananchi walio vijijini kwa sababu wanakosa fursa za kupata habari. Wananchi walio katika miji wana nafuu kwasababu redio nyingi zinapatikana mjini na vyombo vingine vya habari vinapatikana huko kama televisheni” alisisitiza Ayubu.

Aidha, alivitaka vituo vya redio kuwaalika viongozi wa umma katika redio kusikiliza kero za wananchi na kujibu hoja na maswali ya wananchi katika kuboresha utawala bora. Aliongeza kuwa vituo vya redio vitapotenga muda kwa ajili ya viongozi kusikiliza kero za wananchi kutasaidia katika utatuzi wa kero na kuwawezesha wananchi kuchapa kazi katika mazingira mazuri na rafiki. “Endeleeni kuhabarisha wananchi kwa sababu wananchi wanawategemea na kuwahitaji zaidi” alisisitiza Ayubu.  

Kituo cha redio cha Big Star kilianza kurusha matangazo yake mwaka 2015 mjini Mbeya katika masafa ya 106.3 MHz kwa sasa redio hiyo inasikika katika mikoa ya Mbeya na Songwe, na baadhi ya maeneo ya mikoa ya Rukwa, Katavi, Njombe, Iringa na Ruvuma.

Maonesho ya shughuli za wakalima Nanenane mwaka 2017 yanaongozwa na kauli mbiu isemayo, “zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi kufikia uchumi wa kati”.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.