• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Maadhimisho Siku ya UKIMWI Duniani Desemba 01,2019

Posted on: December 2nd, 2019


Akitoa salamu kwa wananchi wa Iringa katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani amesema, Maadhimisho haya yamekuwa yakifanyika kila mwaka duniani kote, pia inatoa fursa ya kukumbushana juu ya janga hili la UKIMWI. Haya ameyasema Mheshimiwa Jamhuri David William   (Mkuu wa Wilaya ya Mufindi) ambaye alikuwa Mgeni Rasmi akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Ally Hapi katika maadhimisho hayo.

Nimefarijika kwa uwepo wenu na kushirikiana katika mapambano dhidi ya UKIMWI, Wana Iringa ni ukweli kuwa, kila mmoja wetu ni muathirika kwa namna moja au nyingine, hivyo kwa nini tusiwajibike kwenda kupima? Tukipima tutajua hali zetu na tukiwa na maambukizi tutatumia dawa , hivyo kuendea kufanya shughuli zetu.

Bado tuna changamoto za unyanyapaa, ukosefu wa usiri kwa watoa huduma, pia watu kujitokeza kwenda kupima pale wanapohisi wanaumwa tu, na umbali wa kwenda kutafuta hutafuta huduma. Suala la kupima na kuanza kutumia dawa mapema litapunguza kasi ya maambukizi mapya na kuimarika afya.

Kupitia maadhimisho haya, nawaagiza Mganga Mkuu wa Mkoa, Waganga Wakuu wa Halmshauri na watoa huduma wote kuendelea kufanya kazi pamoja ili kufikia malengo ya 90-90-90 kw mwaka 2020. Pia nawaagiza Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Iringa kusimamia hospitali kutoa kwa kutoa huduma bora za afya.

Nampongeza Katibu Tawala wa Mkoa Mheshimiwa Happiness Seneda kwa kuandaa maadhimisho haya, pia wadau na wanchani kwa kuonesha bidhaa mbalimbali.

Kauli Mbiu katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  kwa mwaka huu 2019 ni “Jamii ni Chachu ya Mabadiliko Tuungani kutokomeza Maambukizi ya VVU”.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.