• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

MASENZA AIHAKIKISHIA KAMATI YA BUNGE USALAMA IRINGA

Posted on: January 29th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa- Iringa

Kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa imehakikishiwa kufanya kazi kwa amani na usalama mkoani Iringa kutokana na vyombo vya usalama kuwa macho muda wote.

Uhakika huo ulitolewa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiongea na kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa Mkoa, kamati hiyo ilipofanya ziara mkoani hapa.

Masenza ambaye pia ni mkuu wa Mkoa wa Iringa alisema kuwa Mkoa wa Iringa upo shwari. Hali ya usalama ni nzuri kuiwezesha kamati hiyo kufanya ziara ya kikazi katika hali ya usalama na utulivu. Aidha, aliongeza kuwa wananchi mkoani Iringa wanajitambua katika kutekeleza majukumu yao. “Wananchi mkoani Iringa hasa wakulima katika msimu huu wa kilimo wanajitambua na hawashurutishwi kutekeleza majukumu yao ya kilimo” alisema Masenza.

Wakati huohuo, makamu mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya utawala na serikali za mitaa, Mwanne Mchemba alisema kuwa dhumuni la ziara ya kamati yake ni kukagua miradi ya maendeleo wilayani Kilolo kwa fedha zilizotolewa na serikali mwaka 2016/2017. “Tunajua kuwa mkuu wa Mkoa ni jembe katika usimamizi wa uhamasishajai wa maendeleo. Hivyo, kamati inataka kujiridhisha na matumizi ya fedha za serikalai hasa thamani ya fedha kabla ya serikali kuidhinisha fedha nyingine kwa Wilaya ya Kilolo” alisema Mchemba.    

=30=

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.