• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi

Posted on: January 14th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi tareh 14-15 Januari 2022 kwa ajili ya kutembelea miradi iliyotekelezwa katika wilaya ya mufindi ambayo ni miradi ya elimu, maji na barabara miradi hii imetekelezwa kwa pesa za UVIKO-19, Tozo na fedha za ndani kutoka kwa wanachi kwa lengo la kuleta maendeleo katika wilaya hiyo.

Miradi ilikabidhiwa kwa mkuu wa mkoa tarehe 11-01-2022 ikiwa imekamilika kwa asilimia mia na ye mkuu wa mkoa amekabidhi miradi hiyo kwa kamati ya siasa mkoa wa Iringa ikiwa ni madarasa miradi ya maji katika vijiji tofauti pamoja na barabara.

Mwenyekiti wa kamati ya siasa mkoa wa Iringa Dr. Abel Nyamahanga amepokea miradi hiyo na kuridhishswa na utendaji kazi wa serikali mkoa wa Iringa.Amepongeza mkuu wa mkoa na team yake yote kwa utendaji na kazi nzuri iliyofanyika katika wilaya ya mufindi

“kwa kipeke tuseme tu kwamba tumeridhika sana na miradi yote ni jambo la kupongeza sana kama chama hatuna malalamiko mkuu wa mkoa nakushukuru sana “ amesema Dr. Nyamahanga

Pia Dr. Nyamahanga amewataka viongozi wa wilaya kuweka utaratibu mzuri wa kuonesha fedha zilizotekeleza miradi zimetoka wapi kama ni UVIKO 19,tozo au fedha za ndani hii itasaidia wananchi kuelewa matumizi ya mapato katika wilaya yao.

“tuwatie moyo katika shughuli wanazofanya lakini pili tuwe na report kamili kubadika hapo taarifa watahamisika kuelewa matumizi ndio uwazi na ukweli” ameongeza Dr Nyamahanga

Mkuu wa mkoa Mh.Queen Sendiga amemuondoa shaka mwenyekiti wa kamati ya siasa juu ya utekelezaji wa ilani ya chama katika mkoa na miradi yote imetekelezwa kulingana na maelekezo ya chama kwa serikali.

Mh.queen Sendiga ametumia wakati huu wa kukabidhi miradi kushukuru viongozi wote na mashirika yote ambayo ameshirikiana nao katika kutekeleza miradi hiyo kwa muda mfupi na kukamilika katika ubora na kiwango kizuri.

“naomba niwashukuru wajumbe wenzangu wa kamati ya siasa na kipekee niishukuru timu yangu ya mkoa wakuu wa vitengo, viongozi wa taasisi TARURA, TANESCO na IRUWASA hakika ushirikiano wenu ndio umefanikisha haya yote “ amesema Mh Queen Sendiga


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.