• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

MUFINDI DC YATEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KUU

Posted on: May 23rd, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi inatekeleza agizo la serikali ya kuanzisha viwanda nchini ili kujenga Tanzania ya viwanda ifikapo mwaka 2025.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufinsi, Allan Benard alipokuwa akisoma risala ya utii ya wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa Rais Dkt John Magufuli katika uwanja wa mkesha wa Mwenge wa uhuru katika Kata ya Igowole wilayani Mufindi.

Benard alisema kuwa halmashauri ya Wilaya ya Mufindi inatekeleza maagizo ya serikali katika sekta mbalimbali. “Kabla ya kampeni ya Kiwanda changu Wilaya yangu, halmashauri ilikuwa na jumla ya viwanda 29, vikubwa saba, vya kati vitatu na vidogo 19. Baada ya kampeni hii, viwanda vidogo 11 vimeongezeka na kufanya jumla ya viwanda kuwa 40, ambavyo vinatoa ajira kwa watu 3,788.

Akiongelea utoaji wa chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana, alisema kuwa halmashauri inaendelea na utekelezaji wa chanjo hiyo. Alisema kuwa kamati ya afya ya wilaya na watoa huduma za afya 63 na walimu 192 walipatiwa mafunzo. “Zoezi la utoaji chanjo linaendelea ambapo mpaka sasa jumla ya wasichana 402 (98) kati ya walengwa 442 kwa mwezi wamechanjwa ambapo walengwa 5,308 wanatarajiwa kufikiwa kwa mwaka” alisema Benard.

Mwenge wa uhuru katika halmashauri ya Wilaya ya Mufindi umepitia miradi sita yenye thamani ya shilingi 9,199,229,136. Miradi hiyo ni kuweka jiwe la msingi ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa sekondari ya Igombavanu, kukagua msitu wa kupandwa wa halmashauri na kuzindua ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha mtili. Miradi mingine ni kuzindua ujenzi wa barabara ya lami Kitiru-Itulituli Km 14.977, mradi wa kilimo na mifugo wa wananchi na klabu ya wapinga rushwa sekondari ya Igombavanu.  

=30=



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.