• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

RC HAPI APONGEZA VIONGOZI WASTAAFU IRINGA

Posted on: August 6th, 2018


Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Viongozi wastaafu katika Mkoa wa Iringa wamepongezwa kwa mafanikio waliyoyapaka katika utumishi wao mkoani hapa.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Hapi alipokuwa akiongea na kamati ya ulinzi na usalama na menejimenti ya mkoa wa Iringa katika hafla ya makabidhiano ya ofisi na mkuu wa mkoa mstaafu Amina Masenza katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa Mkoa.

Hapi alisema “tunawapongeza kwa mafanikio makubwa mliyoyapata katika uongozi wa mkoa wa Iringa. Pongezi kwa mkuu wa Mkoa na Katibu Tawala Mkoa kwa kazi nzuri mliyoifanya katika maendeleo ya mkoa wa Iringa. Pongezi kwa wakuu wa Wilaya kwa kazi nzuri, mlimpa mkuu wa Mkoa ushirikiano, umoja na upendo katika kutekeleza majukumu yake”.  

Akiongelea changamoto katika Mkoa, mkuu wa Mkoa alisema kuwa changamoto ndiyo sababu za kuwepo kwa viongozi. Hivyo, aliwataka viongozi wa serikali kujikita katika kutatua changamoto na kero za wananchi kwa wakati. Alisema kuwa utatuzi wa kero za wananchi kwa wakati unaondoa migogoro na misuguano na kuwapa wananchi muda wa kufanya kazi za maendeleo.

Hapi aliwaomba viongozi wastaafu kutoa ushirikiano kwa viongozi wapya katika kutekeleza majukumu yao. “Ninyi mnauelewa mkubwa katika mkoa huu, pale mnapoona nafasi ya kutushauri, kutupa taarifa msisite kufanya hivyo. Tunatarajia busara yenu na mawazo yenu katika kufikia mafanikio ya Mkoa wetu wa Iringa” alisema Hapi.

Awali mkuu wa mkoa mstaafu, Amina Masenza alisema kuwa hali ya ulinzi na usalama inaendelea kuimarika katika Mkoa wa Iringa kwa kushirikisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama na wananchi kwa ujumla. Kutokana na hali ya usalama kuwa nzuri, wananchi wanaendelea kutekeleza majukumu yao vizuri, aliongeza. Hali ya siasa ni nzuri, na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM unaendelea vizuri.

=30=


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.