• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

RC HAPI AWATAKA WATENDAJI KILOLO KUTATUA KERO ZA WAZEE

Posted on: August 14th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Watendaji wilayani Kilolo wametakiwa kuwafuata wananchi katika maeneo yao na kutatua kero zao ili wafurahie uwepo wa serikali iliyopo madarakani.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akiongea na wazee wa Wilaya ya Kilolo katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo jana.

Mhe Hapi alisema “nimewaagiza watendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuwafuata huko mlipo na kutatua kero zenu, siyo nyie kuja kuwafuata watendaji walipo”. Sitaki kusikia mnakero na watendaji hawajafika kuzitatua, aliongeza Mhe Hapi. Alisema kuwa aliamua kuanza kikao cha kazi na watendaji wa wilaya hiyo ili kuwapa maelekezo na dira anayoitaka katika kuwahudumia wananchi. Aliongeza kuwa kana wakati wananchi wanaichukia serikali yao kutokana na utendaji kazi wa watendaji usio wa kuridhisha.

Mkuu wa Mkoa aliwaambia wazee hao kuwa ameenda kujitambulisha Wilayani Kilolo. Baada ya kunipokea nitafanya ziara ya tarafa kwa tarafa kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majawabu, hii ndiyo Iringa mpya ninayoitaka ambayo wananchi wake hawana kero, alisisitiza. Aidha, aliwaomba wazee wa hiyo kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya serikali na kuiunga mkono serikali yao.

Mkuu wa Mkoa amefanya ziara yake ya kwanza katika Wilaya ya Kilolo kujitambulisha kwa Chama cha Mapinduzi, kuongea na watumishi, wazee na kufanya mkutano wa hadhara.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.