• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

RC HAPI KUJENGA KITUO CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA IRINGA

Posted on: October 17th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, IRINGA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi kujenga kituo cha kuibua vipaji vya sayansi na teknolojia ili kuibua na kuchochea ubunifu kwa vijana mkoani hapa.

Kauli hiyo aliitoa katika hafla fupi ya kupokea na kukabidhi kompyuta 20 ambazo ni ufadhili wa mbunge wa viti maalum Mkoa wa Iringa, Mhe Rita Kabati katika ukumbi wa shule ya sekondari Lugalo leo.

Mhe Hapi alisema “nafikiria kuanzisha kituo cha kuibua na kukuza vipaji vya sayansi, teknolojia na ubunifu kwa vijana katika Mkoa wa Iringa. Kituo hiki nataka kiwe na kompyuta za kutosha na mtandao wa intaneti wa bure ili vijana waje wabuni mawazo yao na kuyaendeleza katika kituo hicho”. Alisema kuwa katika kituo hicho, shirika la kuhudumia viwanda vidogo, mamlaka ya mawasiliano Tanzania na wadau wengine wanaohusika na uibuaji na ukuzaji wa sayansi na teknolojia watashirikishwa.

Mkuu wa Mkoa aliahidi kuendelea kuwaunga mkono wale wote wenye nia ya kuleta maendeleo katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Iringa. “Ndugu zangu, tusikate tama, tusonge mbele katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo” alisisitiza Mhe Hapi.

Wakati huohuo, Mbunge wa viti maalum, Mkoa wa Iringa, Mhe Rita Kabati, aliishukuru Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kudhamini shindano la masomo ya sayansi kwa shule za sekondari Mkoa wa Iringa zinazofundisha masomo ya sayansi. Alisema kuwa nchi inapoelekea katika uchumi wa viwanda ifikapo mwaka 2025, lazima vijana waandaliwe katika masomo ya sayansi na ufundi. Aliongelea changamoto ya upungufu wa walimu wa masomo ya sayansi na maabara katika Mkoa wa Iringa kuwa ni jambo linalohitaji nguvu ya pamoja.

Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Iringa amewezesha upatikanaji wa kompyuta 20, kati ya hizo, 11 kwa ajili ya Manispaa ya Iringa na tisa kwa ajili ya shule za Halmashauri za wilaya za Mkoa wa Iringa.

=30=  




Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.