• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

RC IRINGA - MHE. QUEEN AKABIDHIWA OFISI RASMI | ASEMA YUKO HAPA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Posted on: May 24th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga, amesema anatarajia kufanya kazi na wananchi wa Iringa ili kuendeleza mambo yote ya kiuchumi na kukaa na kamati zote pamoja na wafanyabiashara katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana

Hayo ameyasema leo tarehe 24.05.2021 katika ukumbi wa Siasa na Kilimo akikabidhiwa rasmi Ofisi ya Mkoa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Mhe. Ally Hapi ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora

Pia Mhe. Queen ameahidi kusimamia haki na kushughurikia changamoto zote za wananchi wa Iringa ikiwa ni pamoja na kusimamia llani ya Chama Cha Mapinduzi ambayo amekabidhiwa na uongozi Wa Chama asubuhi ya Leo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa

"Naahidi kufanya kazi na ilani ya chama ambayo nimekabidhiwa leo asubuhi na uongozi Wa chama ili kutekeleza yale yaliyoelekezwa ndani ya Ilani katika

kuleta maendeleo,"alisema Mhe. Queen

Hata hivyo alisema atasimamia na kuendeleza kaulimbiu ya 'Iringa Mpya' ambayo iliazishwa na kiongozi wa zamani huku akichanganya na yake inayosema uwajibikaji rafiki wa maendeleo

Naye, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Zamani mkoani hapa, Ally Happy, amesema anaondoka Iringa huku akiwa bado anawapenda wananchi wa mkoa huo kutokana na uchapakazi wao , ushirikiano, pamoja na moyo wa kujitolea waliokuwa nao

Alisema yawezekana aliwakwanza baadhi ya watu kutokana na kusimamia haki katika utendaji wake hivyo Kama kunamtu alimkwanza katika majukumu yake amsamehe

"Naondoka nikiwa bado nawapenda kwa yeyote niliyomkwanza anisamehe nilijitoa kwaajiri ya wanaIringa ila ninaimani na huyu kiongozi nawahakikishie kwamba linaondoka jembe linakuja jembe,"alisema.

Aidha amesema katika uongozi wake alisimamia haki alitatua migogoro alitembelea kila Kijiji anasema yote hayo alifanya kwaajiri ya wanaIringa

Hivyo amewaomba wakazi wa Iringa wasimtenge kiongozi wao mpya wasirudi nyuma wala kumkatisha tamaa bali waoneshe ushirikiano katika ngazi zote

"Nikuahidi Kiongozi wakazi wa Iringa ni wachapakazi ,wanajituma ,wanamoyo wa kujitolea wanalima wanachangia miradi wakikupenda wamekupenda hawana moyo wa unafiki, alisema Happy

Omary Nzowa, ambaye ni mkuu wa baraza la wazee Mkoani hapo, alisema atamkumbuka kiongozi huyo kutokana na utendaji wake wa kazi lakini hana budi kumuaga na kumkalibisha kiongozi mpya na wateendelea kumuombea pamoja na kumpa ushirikiano


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.