• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

RC - QUEEN "SITAKUJA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA"

Posted on: June 1st, 2021

RC - QUEEN "SITAKUJA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA"

MKUU Wa Mkoa Wa Iringa Queen Sendiga, amewataka watumishi wa sekta ya afya kufanya kazi kwa uadirifu bila kushurutishwa, huku akisema katika uongozi wake hatakuja kufanya ziara za kushitukiza bali atataka kila mfanyakazi wa umma kujua wajibu wake akiwa mahala pake pa kazi

Hayo aliyasema jana wakati wa ziara ya kukagua ufanisi wa kazi katika hospitali ya rufaa ya mkoa

Alisema endapo kila mmoja atajua wajibu na majukumu yake hakuna haja ya kushitukizana ,na ndio maana alienda akiwa ametoa taarifa kwamba anaenda ila itakapo bidi atafanya hivyo

"Mnaweza mkajiuliza mbona mkuu huyu hatumii ziara za kushitukiza kama wengine ambao wakifika wanakimbizana kwenye habari ya kufanya ziara kwa kushitukiza, niseme tu sisi wote ni watumishi wa umma ile habari ya kwenda mahali na kuaza kukurupushana kwangu naona kama haina tija ,"alisema Mkuu wa mkoa

Aidha alimuagiza mganga mkuu kuwashughurikia wahudumu wote ambao hawatoi huduma ipasavyo kukaa nao na kuwaambia wajirekebishe na kama hawawezi wanaona taaruma waliyoisomea hawakujua itakuwa na majukumu makubwa waache wakafanye kazi nyingine

Pia aliwaomba watumishi wote wawe na maadili katika kazi zao kwani hatakuwa tayari kupokea malalamiko ya aina yoyote yale kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji kazi wa wahudumu

"Najua kwamba kuna, upungufu wawauguzi lakini isiwe sababu ya kushidwa kufanya kazi kwani ndio kazi tuliyopewa tuifanye kwa moyo wote, alisema Queen.

Queen alisema matarajio na mategemeo yake makubwa ni kuziboresha huduma za afya ili kuwasaidia wananchi.

Aidha amesema anajua kuwa sekta ya afya inachangamoto na tayari amekaa na viongozi wamemueleza mambo yote na anafanya kila namna kuhakikisha anazishughulikia

"Hivi karibuni nategemea kwenda Dodoma nitahakikisha nakutana na viongozi wa sekta husika ya wizara ya afya ili kuona wanatusaidiaje hata kwa hela kidogo tuliyonayo tuweze kupatiwa mahitaji yetu" alisema Aliendelea kusema, nimesikia tatizo la upungufu ya wataalamu bingwa wa magonjwa mbalimbali hivyo nitaongea na waganga wa mkoa ili waorodheshe changamoto zote ili zikitoka fursa za ajira tuone na sisi wanatusaidiaje ,"alisema Queen

Pia alisema ameridhishwa na utoaji huduma wa hospitali hiyo pamoja na watendaji wake namna wanavyo wajibika licha ya hayo pia alisema kumekuwa na baadhi ya wahudumu kutumia lugha chafu kwa wagonjwa na kuwataka kuacha maramoja kwani kazi hiyo ni wito kama zilivo kazi nyingine

Alisema maadili ya wauguzi ni tofauti na maadili ya kazi nyingine hivyo kashifa, chuki, majibu yasiyoridhisha na vikwanzo vya aina yeyote havitakiwi kwa wauguzi

"Ningumu kumtambua mtu mwenye tabia hizo kwasababu ya wingi wenu hivyo lazima ujichunge mwenyewe na kwakuwa kuna viongozi tutazidi kukumbushana,"alisema

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.