• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Posted on: August 5th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe Halima Dendego amewafahamisha wananchi wa Mkoa wa Iringa kuwepo kwa ugeni wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaetarajiwa kupokelewa katika Mkoa wa Iringa tarehe 11 Agosti,2022.

Mheshimiwa Rais atakuwa na ziara ya kikazi hadi tarehe 13 Agosti, 2022 na katika ziara hiyo anatarajia kukagua shughuli za miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Mkoa wa Iringa kama ifuatavyo:

Tarehe 11/08/2022 Mheshimiwa Rais atapokelewa na uongozi wa Mkoa katika eneo la Nyororo Wilayani Mufindi ambapo atasalimia wananchi na baada ya hapo ataelekea katika Kijiji cha sawala ambako ataweka jiwe la Msingi kwenye mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lami Sawala-Iyegea yenye urefu wa 30.3 Km. Akiwa katika eneo hilo la mradi pia atawasalimia Wananchi.

Mhe.Rais ataondoka Sawala kuelekea Ikulu ndogo Iringa. Akiwa njiani, atapata fursa ya kusalimia wananchi katika maeneo ya Mafinga Mji na Ifunda.

Aidha, jioni atazungumza na wazee.


Tarehe 12/08/2022 Mheshimiwa Rais atafanya shughuli zifuatazo:

Ataweka Jiwe la Msinga katika Mradi wa Upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa na atasalimia Wananchi katika eneo hilo.

Vilevile, siku hii atahutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara utakaofanyika katika Uwanja wa Samora Mjini Iringa.


Tarehe 13/08/2022 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahitimisha ziara yake katika Mkoa wa Iringa na kuondoka kuelekea Dodoma. Aidha, atakapokuwa njiani, atasimama Isimani Tarafani kwaajili ya kusalimia wananchi.

Hivyo Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego anatoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi sana na kushiriki kikamilifu katika ziara hiyo ya Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, katika maeneo ambayo atasalimia wananchi, ataweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mkoa wa Iringa na kushiriki mkutano wa hadhara tarehe 12 Agosti,2022.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.